Nawashukuru wachangiaji wenzangu waliopita.kwa mtazamo wangu, serikali ya CCM ndo ipo kwenye utekelezaji wa ilani ya chama ya kutengeneza ajila million moja ambazo iliahidi wakati wa kampeni 2010 hivyo basi hao magradute na six leavers ndo wameshapata ajila wasitegemee tena ajila nyingine hadi...
Nawashukuru wachangiaji wenzangu waliopita.kwa mtazamo wangu, serikali ya CCM ndo ipo kwenye utekelezaji wa ilani ya chama ya kutengeneza ajila million moja ambazo iliahidi wakati wa kampeni 2010 hivyo basi hao magradute na six leavers ndo wameshapata ajila wasitegemee tena ajila nyingine hadi...
Katika hali isiyo ya kawaida kiongozi mwandamizi wa chama cha kijani alionekana akikosoa madudu ya chama kikuu pinzani kuwa wanawadanganya wananchi kwa kuwachangisha pesa wakati sio kweli chama hicho kinapata pesa nyingi kutoka kwa wafadhili,kwa mtazamo wangu chama hiki sasa kinafilisika...
Hivikaribuni Rais wa jumuhuri ya muungano wa Tanzania alilihutubia taifa kwa staili yake kwa kupitia waandishi wa habari. Tunampongeza sana rais wetu kwa utaratibuwake huo aliojiwekea.pamoja na mambo mengine aliyoyazungumzia pia aligusia mgomo wa walimu uliolimbima nchi mzama.Tunampongeza sana...
kitu kingine nachofahamu katika serikali iliyopo madarakani haipo makini kwasababu mgomo wa walimu haukuwa na usiano na sensa you can lie people sometime but not all the time. time will tell
Manispaa moja huku kusini,walimu walio wengi hawakuchanuliwa,ila madiwa ndungu zao,watoto wao, watendaji na wapiga kura wao wameja katika zoezi hili la sensa,rushwa kwa sana,subirini madudu ya sensa mwaka huu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.