Ndugu Mzalendo, Mkutano Mkuu wa ACT- Tanzania litakuwa ni tukio la kipekee na la aina yake. Ili kufanikisha, tafadhali tunaomba mchango wako kadri utakavyoweza. Tuma mchango wako kupitia: NMB, A/C No. 22610004083, Jina la A/C: ACT - TANZANIA. Au M-pesa: 0763463740 - ACT TANZANIA na Tigopesa...
Poleni na majukumu wanajamvi. Naomba kuuliza kama kuna ambaye amewahi kutumia mashine za kutotolea(INCUBATOR MACHINES) zinazotengenezwa na KAPARATA ENGINEERING.Je ni nzuri? Ufanisi wake ukoje?
wewe ndo mdini, jaribu kufikiri vizuri uwe na mtazamo tofauti wenye kuleta tija na usiseme u are enlightened sisi ndo tunaona kama upo hivo au lah.THINK BIG.
Zitto mnafiki sana msanii mno...............amelikoroga na aliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.................... Tatizo alijiamini sana akidhani hakuna wa kumrekebisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.