Ama kweli sikio la kufa halisikii dawa!! Endapo serikali itawazuia walimu kusimamia sensa basi inajipalia mkaa,maanake gharama za kupata trainees ni kubwa pengine kuliko wanachodai walimu! Hapo kuna sense gani?
Natamani Mwl.Nyerere afufuke asimamie maadili ya viongozi.Jambo la conflict of interest linawatesa Watanzania wengi.Viongozi wa umma ambao ndio wasimamizi wa mali/maslahi ya umma ndio wafanyabiashara wakubwa na hao hao ndio wenye tenda nyingi katika mashirika ya umma.Kutokana hali hiyo kiongozi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.