Nchi hii Viongozi hawatufai. Sijui kama wanaingia huku na kuona namna wananchi wanavyowatazama. Kuwajibishana ni MSAMIATI mgumu sana!! Hivi ni kwanini? Au watu wanakula pamoja!!? Kwanini Tunashindwa kuwajibishana??
Eeh Mwenyeezimungu Mwingi wa Rehma ninakuomba uwawajibishe Viongozi wabadhirifu...
Mimi siku nikiwa kiongozi wa nchi hii ningewatumia Wakaguzi vizuri! Ningewa remunerate vizuri sana kuliko rates za perdiem kisha ningewaasa wawe waadilifu na wafanye ukaguzi wa kweli na wa haki.
Kisha ningetumia matokeo ya ukaguzi kupeleka wabadhirifu kwenye mahakama ya wahujumu uchumi...
Hivi ndivyo ninavyojua na ndivyo itakavyobaki katika Halmashauri ya Kichwa changu. Kwamba Young Africans mwaka 2023-2024 walishiriki CAF CC na kufika hatua ya nusu fainali kwa kuifunga timu ya Mamelod Sundowns Goli 1 -0. Timu hiyo ilinyimwa ushindi huo kwa maksudi ya VAR officials kwa...
Mimi ninataka nijifunze kwa watu kama hawa demu akiomba hela tu unampa. Mimi kiukweli ni mgumu sana kutoa hela yangu kienyeji enyeji tu. Na hela ikinitoka ninapata homa kabisa na akili inakuwa haikai sawa.
Mimi naona hili nalo linachangia hata kuna kipindi aliwahi kuongea, ukinizingua Zuhura anatoa mkeka! Kama sifa vile. Sasa point ambayo mleta mada anayo kwanini wale wanaotenguliwa wanapewa tena nafasi? Mfano Waziri Kindamba na Edwin Mhede. Kama Mhede alishindwa DART anaweza kwenye Unaibu Katibu...
Possession ya Mamelod ilikuwa ni mipira ya nyuma walihold sana mpira nyuma na kwasababu hatukufanya pressing ya kutosha. Hatukufanya pressing kwasababu Mamelod ni wakubwa wenzetu huwezi kuwaendea kwa papara. Lakini sio kwamba walipossess labda kwa kuupiga mwingi kila kona.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.