Ndugu zanguni, kwanza kabisa tuelewe inaposemwa bandari hafanyi kazi kwa kasi inayotakiwa maana yake ni nini.
Kuna vigezo kadhaa vya kimataifa vinavyopima jambo hili lakini kikubwa kabisa ni kasi ya uingiaji wa meli nchini na kupata gati, kupakua kupakia na kuondoka. Ndio maana kitendo cha meli...
Pohamba, si vema kufikia uamuzi huo. Wote hatujui contents za vikao hadi sasa. Huenda moja ya contents ni kuwa taka wakiri na Kuja public kuomba msamaha. Kwa hiyo tuwape muda. Subira yavuta heri japo vijana nyie ni maji ya moto. Sema pia uongozi wa Chadema usichukue muda sana angalau kurudi ku...
Nilmwambia rafiki yangu kipo Chama kipya kitaanzishwa na mgombea wake atakua yule Balozi mstaafu. Chadema hawatachukua yeyote ila itafaidika na mgawaanyiko mkubwa utakaotokea upande ule. Mark my words
"Our good Lady" ETA- Expected time of Arrival is 19h00. Meli bila kujali ni ya Aina gani zinapewa heshima kubwa sana kwa utumi wao. Meli hubeba mizigo ya u kubwa na uzito wa ajabu ndani ya "matumbo" yao. Hupita njia yenye misukosuko mkubwa hadi kufika ngambo ya pili. Kama tunavyowapa heshima...
Jibu la kitoto hilo. Mimi Nipo shamba ni mkulima, sinunui na sijawahi kununua chakula dukani. Naanzaje kwanza. Sasa wewe una madini ya simu halafu hutengenezi simu vipi.
Hilo gazeti LA Time Observer limeshaigia mtaani au bado. Kama bado editor a wahi kurekebisha lugha ya watu.....Private laboratory. ..sio personal laboratory. Ni law sio low. Kwanza ni observe the law sio follow the low.... maudhui yote ya hili gazeti yatakua na uzito kama hiki kiingereza...
Maendeleo ya mini ni pamoja na kuwa na usafiri wakiistaarabu kukaa level seat sio kujazana. Jiji liombe uwekezaji binafsi wa mabasi badala ya kurudia acha ya kujaza abiria. School bus binafsi ziruhusiwe nk.
Pascal Mayalla,
Pascal, point sio MOF imepiga, point ni kuwa haijui kuwa zimepigwa hadi donor anajua na minister hajui.. Mpaka afuatilie. Vipi mzee.
Hata mfano wako wa jikoni ni very irrelevant kwenye hii mada. Accountability ya donor funds au local finances sio sawa na matumizi ya jikoni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.