Ila katika hali ya kawaida Cabinet Minister unapata wapi hela zote hizo Kama haukujiinvolve na rushwa na kutafuna hela za wananchi..Hii ndio inafanya Nchi nyingi za kiafrika kuendelea kuwa maskini huku National Cake ikitafunwa na wachache..halafu mtu na akili zako kabisa unakuja kushangilia...
Nilikuwa last week ni kweli jiji lile lina tatizo la umeme..nili experience kukatika kwa umeme more than five kwa siku tatu nilizokaa Nairobi tena prime arears Westlands..
We are in the right track..In 5 years to come Tz itakuwa mbali sana kiuchumi chini ya uongozi wake Jemedari Magufuli...najua wakenya wengi wanatamani Magufuli aanguke kwenye uchaguzi huu coz ameonekana kuwa ni threat kwao. Tunaenda kimya kimya siku mkija kushtuka tutakuwa mbali sana.
Naombea...
Hii.issue.ya mabucha imekuwa hadithi....kuna kazi kupitisha sheria hizo za uwindaji na kutoa vibali watu waanze.kufanya biashara..kuna mambo mengine yanakera sana sijui wizara inafanya kazi gani kama issue ndogo kama.hizi ambazo rais alishatoa go ahead wanashindwa kuimplement
Kama una uwezo wa kutoa dola laki moja kwa ajili ya kupata citizenship ni bora hiyo hela ukaiwekeza kwenye biashara ambayo itakulipa mara mbili zaidi ya hapo.
ideology ya kwenda nje ya afrika ndio kuwin maisha inatakiwa iondolewe katika vichwa vya watu..tuna kila kitu..
sioni haja ya kwenda...
Wakati unaendeleza chuki dhidi Tz , sisi tunachapa kazi kwenda mbele, making BRT phase 1 as a pilot study and we are implementing phase 2 of the BRT as well as phas 3 is underway...endeleeni kupiga maneno
Mkuu nimefuatilia nondo zako aisee nimekukubali unajua vitu na ningetamani kujifunza zaidi juu ya elimu hii ...kutokana na feedback niliyoiona ni watu wengi pia wapo interested katika hili.
nina ombi kama hutojali tuwe na ka group ketu whatsapp tuwe tunajifunza juu ya elimu hii hata mara moja...
Listen u mbururaz, hapo wamejaribu kuhighlight ndani ya miezi mitatu hivyo ndivyo nchi yenu imekopa..uko hapa unajigamba while mnaumia kimoyo moyo..see the attached recently report of ur country and comments fromur fellow kenyans
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.