kuna wakati viongozi wa ccm huwa vihiyo sana, wewe mwigulu na job ndugai ni mifano ya viongozi wenye akili ndogo sana ya utambuzi wa mambo na maendeleo:
1. wananchi wa tanganyika na wa iramba sio mali yako naomba ufute kauli ya kujipa hati milliki ya wananchi wa iramba, ONYO tambua wananchi...
Habari wa jf wa kongwa,
Napenda kuchukua nafasi hii kama mwanakongwa niishio Dsm kuwajulisha ndugu wote wapendana maendeleo.
Naamini Kongwa itakuwa na maendeleo chanja endapo tukiungana na kushikamana kwa hali na mali ili kuleta maendeleo bila ya woga.
Naomba tuungane kwa kila kata ili...
Wanajamvi wote nawajulisha kuwa kesho kutakuwa na mikutano ya sita katika jimbo la Ndugu JOB NDUGAI lengo ni kuwaeleza wananachi wa Kongwa kuwa haki haibembelezwi ila inatafutwa kwa kupigania;
remember this quote, ''POVERTY IS THE PARENT OF REVOLUTION AND CRIME''
Habari wajf,
Kuelekea uchaguzi mkuu mwaka 2015, jimbo la uchugazi la Kongwa lina kata 22 ambazo kwa sasa zote zipo chini ya CCM. sasa kwa wale wote wapenda maendeleo hii ni fursa ya kujitambua, kuthamini na kuchukua hatua ili kujaza nafasi wazi za udiwani katika uchaguzi 2015. maandalizi mapema...
Habari wanajf, habari wanakongwa,rejea na kichwa cha habari,
Ndugu wanajamii, wanakongwa tuishio Dar na Pwani, tumekusudia kufungua tawi la CHADEMA hapa mjini kwa ajili ya kuratibu shughuli za kichama kwa wanakongwa waishio Dar na Pwani.
Tawi limepewa baraka zote kutoka kwa mwenyekiti wetu...
HABARI WANABODI
naomba kusaidiwa jamani hii M4C ni kwa ajili ya mikoa mingine tu, vipi kuhusu dodoma? hasa jimbo la kongwa kwani hili ni jimbo jepesi san.a ila tunahitaji nguvu ya makamanda kama lema na joshua samwely nassari na wengineo kuwajengea uwezo vijana na kuwatoa uwoga.
naombeni kusaidiwa
Economy growth analysis of Tanganyika since 1961
Enzi za mwalimu kusoma na kupata ajira haikuwa shida kama ilivyo sasa, kwani wanafunzi walikuwa wanatafutwa huko jijini na waliwza kupatiwa fully accomadation allowances kama free transport go and returns n.k
Sasa endapo serkali ingeweka mfumo wa...
wanajf samahanini sana naomba kujuzwa hivi hili jimbo la Kongwa lina mbunge au kivuli. maana tangu 2010 kushinda hajawahi kuwa na mkutano wa hadhara wa kusikiliza kero za wananchi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.