Muuza duka anatafutwa mwenye umri wa miaka kati ya 20-35.
SIFA
1. Jinsia yoyote.
2. Awe na uzoefu wa kazi au uwezo wa kujifunza na utashi wa biashara.
3. Awe na Elimu ya sekondari au aliyejie deleza mwenyewe kiakili.
4. Awe na uwezo wa kutumia kompyuta na ajue hesabu za biashara.
Awasiliane...
Hizi Si tetesi, ni taarifa za ukweli.Umejitahidi kufafanua lkn bado maelezo yanahitajika. Kwa hospitali za rufaa ambazo zinatumia parastatal scale ni Muhimbili na taasisi zake, Ocean road na Bugando...issue iliyoongelewa na katibu mkuu ni kuwa BMC ndio wataondolewa kutoka kwenye hiyo scale na...
Jamani hemu tuanze kufikiri kimapinduzi kama nchi.Matatizo hayakimbiwi, yanakabiliwa.Kuwaambia wananchi wahame ni uvivu wa kufikiri na ni kukimbia tatizo sio kulitatua.
Kama nchi ikipaswa iweke miundombinu kuwezesha watu waishi vizuri mahali walipo.Kwanza hata jangwani ni eneo zuri kabisa la...
Honestly nimejikuta nacheka sana mwenyewe...maana huyo anayeuliza Bower ni nani alitegemea ugundue jina umekosea, lakini mwenzetu very naive hujagundua, ndo inazidi kukoleza!Dah, am still smiling!!
Maswali ya maana sana kwa BMK kwa hizi sura wanazojadili.Nasikitika hawajibu maswali hayo na mwenyekiti hatoi mwongozo kwa wanaochangia, ili waweze kutumia muda vizuri kujadili sura hizo mbili tu bila kuzunguka na kumaliza muda kupeana vijembe na kushabikia tu!!
Kama kuna mtu anayeuza Used Toyota Starlet ambayo bado iko kwenye form , 5 Doors, mileage isiyozidi 100,000km, Automatic. Tafadhali ani-private message.
Hahaa, ila kweli jinsi alivyoandika ni typical watu wa kule Kigali, penye 'el' wanaweka 'arr'. Umemwotea huyu lazima atakuwa ana asili ya kule hata kama anaishi TZ kwa sasa. Lakini Nawewe kaka usiseme HAMUJUI, sema HAMJUI!!Kiswahili ni lugha inayohitaji utulivu wa nafsi!!
Hahahahaaaaaa...umenichekesha sana aisee (najua unawazia kale kamsululu ka foleni kanakokua kule kwenye ATM za NMB...ukiita ..mwalimuu!...woote wanageuka nyuma), lakini nao pia si ni wateja tu kama wengine!!
Ndugu zangu natafuta Toyota Starlet, 1,290cc, Petrol, Mileage isiyozidi 120,000km. Bado iwe in good condition tafadhali!
If you have one or you know someone please help. Niko Moshi lakini mahali popote itakapopatikana haitakuwa ni tatizo.
Ndugu zangu natafuta nyumba ya kupanga Moshi mjini Kuanzia mwezi huu wa January 2013, eneo la karibu na usafiri wa daladala.
Iwe na walau vyumba viwili vya kulala na sebule, jiko (kitchen) na geti. Bei isiyozidi 200,000/=
Kama kuna yeyote anayeweza kunisaidia awasiliane nami kwa namba ifuatayo...
Bado sasa hivi wako busy wanatafuta vyeti vya kughushi katika vyuo vya nje au vya ndani, wanabadilisha miaka ya kumaliza vyuo, wanatafuta kesi kadhaa za kughushi ili ionekane wameshauri na kuamua kesi nyingi tu kwa miaka 10 na wana degree zao...BAADA YA HAPO WATAJITOKEZA KUJIBU HOJA YA TUNDU...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.