Ur right Lisa, muda mwingi, tumekuwa watu wa kuongea bila kufikiria kwa sababu vitu tunavyovisoma, havijatufika sisi. Lakini, tungeelewa umuhimu wa kutoa ushauri na namna gani ushauri mzuri, huwa unaleta matokeo mazuri, tusingekuwa tuna-comment kama watoto wa darasa la1, kwenye mambo yenye umuhimu.
Hiyo ni dalili nzuri bro, it's better 2have sm1 who respect u by not giving u so easily. Na hata kama mtaachana, hutokuwa ktk position mbaya coz hujawahi mgusa and now magonjwa mengi. Subiri na kuwa mwangalifu na wadada.
It's ok 4 each and everything, bt plz let all of us be care on our decision. Coz katika kitu ambacho kila m2 atawajibika nacho ni maamuzi. Peace and love.
Afrodenzi nitakupa that research, bt unajua kudo b4 marriage kunachochea namna gani watu kuwa na tabia za uasherati? That's y zamani walielewa that na waliipinga sana, fuatilia historia ya Waafrika juu ya ndoa, na vitabu vya dini.
Tunaweza tukawa na idea nyingi za kujitetea na tukahsi zinatusaidia, but ukweli hautengenezwi na matakwa yetu. Umewahi kufikiria kama wote tungeacha kudo that b4 marriage, magonjwa ya zinaa na maadili ya jamii yetu yangekuwaje. Usijibu coz unajibu, bt try to think big.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.