Search results

  1. D

    Tulifanya for funny sasa anataka kujenga kibanda

    Ur right Lisa, muda mwingi, tumekuwa watu wa kuongea bila kufikiria kwa sababu vitu tunavyovisoma, havijatufika sisi. Lakini, tungeelewa umuhimu wa kutoa ushauri na namna gani ushauri mzuri, huwa unaleta matokeo mazuri, tusingekuwa tuna-comment kama watoto wa darasa la1, kwenye mambo yenye umuhimu.
  2. D

    Vijana na Mapenzi.

    Kwa nini vijana wengi wanadanganyana kwenye suala la Mapenzi?
  3. D

    Kweli kupanga uzazi hakuna madhara?

    Ya asili ni kama ipi my dia?
  4. D

    Kwanini mnafanya mapenzi kabla ya ndoa?

    Ur right Mr.Kwapa.
  5. D

    Alimaanisha Nini?

    Mh!, what was he done to u my dear?
  6. D

    Kwanini mnafanya mapenzi kabla ya ndoa?

    Thanx Afrique. But It's gud we umeelewa, just take action and teaches others.
  7. D

    I am loking for a girl who will be my best friend. Age btn 18 - 23 years

    Ok, just ni PM ur mail so that we can exchange different ideas.
  8. D

    I am loking for a girl who will be my best friend. Age btn 18 - 23 years

    Just be my friend though umenizidi k'dgo, I do lyk 2 do CPA too. Will u?
  9. D

    Kwanini mnafanya mapenzi kabla ya ndoa?

    Nasema, u respect urself, peole respect u. Bt It's ok, kila m2 ana haki ya kutoa mawazo yake. Bt nw-on jitunze plz.
  10. D

    Kwanini mnafanya mapenzi kabla ya ndoa?

    Ni tamu kweli, but unajua mshahara wa dhambi ni nn? Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa.
  11. D

    Jamani naomba msaada wa mapenzi yananisumbua

    Pole sana bro, I knw kwa sehemu unavyoumia bt plz piga moyo konde, and focus sana kwa MUNGU, ATAKUPA A RIGHT person.
  12. D

    Kwanini mnafanya mapenzi kabla ya ndoa?

    Who told you Lizzy? And why u think that?
  13. D

    Hiki kisa nimekifanya siri/vumilia kinantesa ni nafuu nikiseme kinitoke kichwani

    Very sorry my sis, kukosea siyo mwisho wa maisha. Just have a gud tym with GOD and repent 4what u have one. Anza mwanzo mpya, kama kiumbe kipya.
  14. D

    Nampenda tatizo ananibania penzi

    Hiyo ni dalili nzuri bro, it's better 2have sm1 who respect u by not giving u so easily. Na hata kama mtaachana, hutokuwa ktk position mbaya coz hujawahi mgusa and now magonjwa mengi. Subiri na kuwa mwangalifu na wadada.
  15. D

    Kwanini mnafanya mapenzi kabla ya ndoa?

    That's gud mwali. Keep it up.
  16. D

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Time will tell them for real.
  17. D

    Kwanini mnafanya mapenzi kabla ya ndoa?

    It's ok 4 each and everything, bt plz let all of us be care on our decision. Coz katika kitu ambacho kila m2 atawajibika nacho ni maamuzi. Peace and love.
  18. D

    Kwanini mnafanya mapenzi kabla ya ndoa?

    Afrodenzi nitakupa that research, bt unajua kudo b4 marriage kunachochea namna gani watu kuwa na tabia za uasherati? That's y zamani walielewa that na waliipinga sana, fuatilia historia ya Waafrika juu ya ndoa, na vitabu vya dini.
  19. D

    Kwanini mnafanya mapenzi kabla ya ndoa?

    Tunaweza tukawa na idea nyingi za kujitetea na tukahsi zinatusaidia, but ukweli hautengenezwi na matakwa yetu. Umewahi kufikiria kama wote tungeacha kudo that b4 marriage, magonjwa ya zinaa na maadili ya jamii yetu yangekuwaje. Usijibu coz unajibu, bt try to think big.
Back
Top Bottom