We have Muzungus here getting us ready to convice people that we Can become Europeans if we agere with Portugal that Zanzibar was just stolen by force with the hungry Omanis, Wana ushahidi wa furaha waliokuwa nayo Babu zetu enzo zao hapa.
Katik mifano ya maendeleo na furaha wanaongelea mchezo...
Alikuja Vijijini kwetu Zanzibar na kukagua maendeleo na kukutana nasi katika kanisa na Mwanakwerekwe mara 6 au zaidi kwa mwaka, tangu aache kazi hatumwoni tena Wazili Mkuu akija Zanzibar na sasa tunaonewa zaidi.
Hatari sana, Anaimarisha kundi lake la UAMSHO, ndoto yake aunde Muslim Brotherhood yake, juzi aliwanong'oneza Uamsho walegeze mwendo kunako kona ila Safari iendelee, keshawapachika wastaafu wenzake wote na Uamsho
Bandari ya Zanazibar wote ni wezi, ila kwaq makusudi ili kuinyima TRA ya Muungano mapato, (yaani kama nikiingiza mzigo toka Dubai na kodi ni milioni 7, basi nalipa moja tu kihalali, na mbili natoa zawadi mlango wa nyuma au hata nje nje kwani wote lao moja, kuwa bora pesa tuachiane sisi Zanzibar...
Mawazo yangu ni kwanza tutake haki sawa kwenye Ziwa, au tugawe mara 3 nchi 3 zinazopakana kwa usawa, au Tanzania tuchukuwe eneo letu na lile la Malawi pia, au hiyo kazi apewe Dr. Migiro afanye hiyo tu 24HRS akishindwa tuvamie kigeshi na kukalia upande wa Ziwa kati yetu na Malawi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.