habri zenu ndugu zangu,naomben msaada tafadhali,nataka kwenda kulipa ada ya direct cost,naingia mtandaoni naambiwa warning haufunguki,wenye huo muamala naomba unirushie plz,maana nasikia wameweka adi ac no ya NMB,plz msaada maana ndo naelekea town,
inawezekana cha msingi hapo ni upendo,baraka nyingine mungu atawaletea wala usiogope? Ya Mungu mengi anaweza akakuonyesha njia ukapata mara tatu ya hiyo,wwe oa,
mimba ilishaharibika ndg,baada ya hapo ckupata tena,nikaenda hosp nikafanyiwa vipimo vya hsg sikuwa na tatizo,doctor akanipa dawa za kusaidia ovulation,nilizimeza mwezi wa nane mpaka leo sijapata hedhi na nimepima mimba leo hamna kitu,alinipa dawa ziitwazo clomi plan,
habr ndg zangu,nisaidieni kutopata hedhi leo ni siku ya 56,nimeshapima ujauzito kwa kutumia hcg yaan urine test ziadi ya mara tatu na leo nimetest hamna kitu licha ya mwanzoni nilipata kuumwa na chuchu,kichwa nikajua nimeconcive lakin wapi,labda nieleze nilipewa dawa za ovulation kwa ajili ya...
mmi mwnywe nina vijidevu vinne virefu kidogo,huwa watu wananisifia kwa upole,ukarimu na mvumilivu kwenye ndoa,na wengne husema eti ni kwa sabbu ya vijidevu vyangu,
naomba mniambie kwa hawa wa first year izi direct cost tunazolipa,,hata kama una card ya bima lazima ulipe tena medical capitation fee,,,,na udoso tunalipaje,,naomba msaada naelekea bank kulipa,,thanks
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.