Search results

  1. The Son

    Tujuzane, ni lini???

    Good news, zinalipwa leo na kesho.
  2. The Son

    Tujuzane, ni lini???

    Sio za siku nne. Kauli iliyopatikana leo ni kuwa cheque iko kwa Mkurugenzi. Hatari iliyopo ni kuwa siku za kazi zilizobaki kwa wiki hii ni kesho na keshokutwa tu. Wajuzi wa mambo wanasema walimu wa Sekondari wilaya ya Mkinga mna hali ngumu sababu viongozi wenu hawajali, muda mwingi wako bize...
  3. The Son

    Tujuzane, ni lini???

    Walimu ajira mpya Sekondari Wilaya ya Mkinga, Tanga fedha za kujikimu kwa siku nne zilizobaki zitalipwa lini? Hali ya uchumi ngumu.
  4. The Son

    Mwalimu umepangiwa Wilaya gani? Kutana na wenzio Hapa

    RE: Wilaya: Mkinga, Mkoa: Tanga
  5. The Son

    Chemistry

    Sio "wataji'jj" au "wataji'dabojei"??? Kwangu hii mpya!!!
  6. The Son

    Chemistry

    We pia waweza kutafsiri. Ni rahisi, copy kilichoandikwa, kisha paste hapa: Google Translate Kumbuka ku'detect language as 'Swahili' Me nimefanya hivo ikatafsiri hivi: Wewe ni kweli inayotolewa kwa mtu. Kuanza tarehe na kemia kukua na nguvu na nguvu. Unaweza kuchukua mambo ya ngazi ya pili na...
  7. The Son

    Chemistry

    Umechangia kwa kutoa malalamiko yako.
  8. The Son

    Utajiiskiaje na utafanya nini mkanda wako wa ngono ukivuja?

    Ni swali linalopaswa kurudiwa tena na tena: Unajirekodi ili iwe nini?
  9. The Son

    Chemistry

    Ulivoandika hapa hujachangia???
  10. The Son

    Mwalimu umepangiwa Wilaya gani? Kutana na wenzio Hapa

    Wenzangu mliopangiwa kwenda kufundisha huko mpo?
  11. The Son

    Polisi waua magaidi 2 waliovamia Msikiti Kilindi

    https://www.jamiiforums.com/jamii-intelligence/540375-believe-it-or-believe-it-not-september-11-2011-twin-towers-were-hit-by-military-plane.html
  12. The Son

    Msaada tafadhali;ni kuhusu kamusi ya Kiingereza-Kiingereza.

    Nitaipata wapi nii-download kamusi ya Kiingereza-Kiingereza ambayo maneno yake yamekuwa transcribed ki-fonetiki?
  13. The Son

    Dictionary

    Help please!Where can I download a dictionary whose words are transcribed phonetically either offline or online with Nokia Asha 210 dual SIM?
  14. The Son

    Dictionary

    Help please!Where can I download a dictionary whose words are transcribed phonetically either offline or online with Nokia Asha 210 dual SIM?
  15. The Son

    Ishakwisha?

    Ishakwisha?
  16. The Son

    Ishakwisha?

    Ishakwisha?
  17. The Son

    Ishakwisha?

    Tafadhali nijuze hili;ile promotion katika airtel money kwa jina la HAKATWI MTU HAPA ishakwisha? Nimeuliza sababu silioni tena tangazo lake hapa JF,badala yake naona la YATOSHA.
  18. The Son

    Hizi ndizo departments za kuziogopa uwapo udsm,wanakula vichwa balaa!

    Nothing has changed, nilihitaji tu kufahamu 500,000/= ya T/FEE itakua asilimia ngapi, so nishafahamu.
  19. The Son

    Hizi ndizo departments za kuziogopa uwapo udsm,wanakula vichwa balaa!

    Thanx Perry, unfortunately mobile yangu inazingua, ningekudondoshea 'Like'
  20. The Son

    Miss World 2013 ni leo........Bali, Indonesia........

    Umemuita Ab-Titchaz?
Back
Top Bottom