Acha upimbi wewe,kwaiyo wewe sio dot com? Unayechanganya kiswahili na kiingereza? Hata wewe hujielewi,nawe dot com tu! Jamaa kaandika poa tu labda makosa madogo dogo hata waandishi wenye sifa na wazoefu wanakosea vilevile! Huna point apo,acha wenye kumsaidia waje! Nahiyo sio barua ya maombi...
What do they see in our country that us do not see?
Every leader is selfish,is after his own interest at the expense of Tanzanians,we are putting down this country!
They hv enough still they want more that they can not consume till they die,what for? Hawana tofauti na mababu zetu...
lengo ni kuweza kujuana mapema ili tuchukue hatua kama kutafuta hostel,tukifaamiana mapema na tukiwa pamoja hostel itatusaidia sana kimasoma,kama interested na ni mwana BAF nitext kwa namba hii tufanye mipango 0778886787.
sawa talent zipo bt mwisho tunaangalia ni vp talent inakulipa.talent inakulipa.kwa bongo bado sana,technology ipo chini.hata mabarabara ni foreigners tu wakati bongo tunawataalam.mbali na hapo hakuna kitu labda usepe nje ikiwa unaiamini hiyo talent yako ktk science.
Huyu Rabi wa leo nina wasiwasi naye,anadai wana special class pale Mzumbe kwaajili ya courses ambazo hawasomi pale MU ambazo ARDHI wanasoma.Pia anadai yupo kazini(mwajiriwa) na anaona umuhimu wa hizo courses ambazo MU hazipo.Hebu atueleze kwanza,yeye ni mwanafunzi pale MU? Kama ndio ni mwaka wa...
NOTE:SINA LENGO LA KUTAFUTA SIFA WALA UBAGUZI. Kwa kuwa ni kweli mwaka wa kwanza kwa wanafunzi wa Mzumbe hukutana na likizo ndefu,kama sijakosea ni from january to july.Je kwa wale wana BAF mliotutangulia mnatushauri tusome nini ktk likizo hiyo ambacho kitatusaidia sana kulingana na masomo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.