kwa kweli mimi Itv sijawaelewa walikiuka sheria ipi mpaka waombe radhi jana..but kama ni kweli ni nguvu ya ziada ya wale wahindi basi nchi hii sioni haki iko wapi maana Itv ni private territory bt wahidi wameweza kuwafanya wanywee lol makubwa..
even though its seem healthy to be a two way system rarely do that work on 50 to 50 ratio....the man will always give more than the chick but then its said "the more you give the more you receive"....that the modern rule of kuhonga type of relationship
Naunga mkono hoja...hatufai huyu binti kwani alitakiwa awe pro active na ajue hii sheria ni ya uonevu kwa wafanyakazi, wabunge nao yabidi tuwalaumu maana kama ingekua inawagusa hii sheria am double sure lazima wangeikataa...
kaka biashara nzuri ni ile una idea nayo au unaipenda just like a hobby vile otherwise idea zingine unabidi uzifanyie utafiti wa maana kabla hujaamua ku invest your 4m.....take your time before you commit that cash to nay business.
nadhani cha msingi hapa ni je umri ndio kikwazo kwako kumpenda kwa dhati na kua na uhusiano endelevu au....kama pamoja na umri wake unampenda kwa dhati na yeye pia anakupenda basi usimuache maana what count ni kama mnapendana umri sio kigezo its just a number.....
zito kama yumo angetajwa ana kama yumo but anafichwa itajulikana tu let just be wavumilivu...hii ni list ya Lissu tusubiri ya ccm yawezekana bw zitto yumo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.