Am still puzzled juu ya arguement ya mtoa mada kifo plus shida ni issues ambazo ni anticipated in life na kama umeoa utakuwa umexperience baadhi ya shida.
Alafu kumbuka ni jopo lilikaa likatunga iko kiapo then approved universally kutumika kanisani.
Kama unahisi zina walakini keti na paroko wako...
Apo lazima kuwe na single mothers maana wanawake wako wengi kuliko wanaume na iko ivyo kwa mda mrefu na bado wapo wanaume ambao wanabadili jinsia so wanaume wanazidi kupungua
Marko 10:31 BHN
Lakini wengi walio wa kwanza watakuwa wa mwisho, na walio wa mwisho watakuwa wa kwanza.” ata injili inakili ilo hawa jamaa zamu yetu sasa kuwahubiria naona wengi wanakengeuka.No wonder idadi kubwa ya mapadre huenda uko ughaibuni I have 5 friends of mine US Autrali and German...
Although born into an Anglican family, and a devout but heterodox Christian, by his thirties Sir Isaac Newton held a Christian faith that, had it been made public, would not have been considered orthodox by mainstream Christians.
Albert Einstein famously wrote: “Science without religion is...
SWALI: Maana yake ni nini Bwana anaposema (Mathayo 19) “Maana wako 1.MATOWASHI-waliozaliwa hali hiyo toka MATUMBONI MWA MAMA ZAO; Tena wako
2.MATOWASHI-waliofanywa na WATU kuwa matowashi; tena wako 3.MATOWASHI-WALIOJIFANYA KUWA MATOWASHI KWAAJILI YA UFALME WA MBINGUNI.Awezaye kulipokea neno...
Niliwai fika kwenye kaburi lake pale peramiho kabla hawajaliamisha na kuchukua udongo.
Nadhani its time now kama inchi tuwe na mtakatifu maana kama inchi tumekomaa kiimani
Shida ya Africa badala ya kuwa viongozi tuna puppets wa imperialists.
NIger wamejilipua eti ECOWAS anatak ivamia NIger kulinda Maslai ya US NA FRance.
Will take time WEst Africa kuwa na uhuru kamili vitu vingi FRance ndo anacontrol alafu kawajazia terrosits groups kule plus njia ya madawa ya...
Eti gumzo inchi nzima yaani wewe kama wewe umekuwa inchi?
Nadhani ukifuatilia ni maeneo ambayo serikali inakuwa haina hospital ndo huwa wanateam up na watu wa kanisa Kama Bugando KCMC KUle Makete na pale ILembura kwa kutolea mifano tuu.
Pia ukumbuke ata shule za mission vivyo ivyo ingawa zipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.