siyo mambomba ya gesi ndugu. Huyu alichogundua ni Mita, anakuletea Mtungi wa kilo 6, 15 au 30 nyumbani kwako ila huwezi kuutumia mpaka ulipie, unaweza kununua gesi ya 2000 katika mtungi huo ikiisha inakata hadi ununue tena, ni kama Luku.
Mtanzania Andron Mendes ameuza mfumo wa mita ya kulipia ya kulipia gesi ya kupikia kadri unavyotumia (PAYG) kwa Kampuni ya Circle gas ya Uingereza kwa Sh.57.6 bilioni ili isambazwe kwa nchi za Afrika.
"Hakuna sababu ya kushikilia Teknolojia ambayo inapunguza matumizi ya Mkaa kwa sababu tu...
1.Ukienda Uwanja wa Taifa unakutana na Stars na Simba wamefuzu, Yanga nayo bado ni miongoni mwa Timu chache duniani zinazoongoza ligi za nchi zao;
2.Ukienda Stiglers kazi ya kuzalisha umeme megawati 2,115 imeanza;
3.Ukienda SGR kazi imefikia asilimia zaidi ya 45.Reli ya kisasa inatandikwa na...
Kasome Katiba ya nchi, mamlaka za fedha , Sera na Mipango utajuq nani alitoa fedha. Lakini hata hivyo mbona mnajikanyagakanyaga, tatizo ni uwanja kujengwa Chatto au fedha kutolewa na nani? Vichwa vyenu vimejaa matope
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.