Kwa nijuavyo direct costs ni tofaut na ada, na mkopo 100% maana yake analipiwa ada yote haihusiani na direct cost.
Direct cost ni michango mbalimbali ya chuo ambayo haihusiani na mkopo
Kwan hiv iligunduliwa mwaka gani?
Halafu naomba unioneshe aliyewahi kuchallenge hyo research with scientific proof.
Naomba unioneshe a single scientific document which shows how hiv causes aids?
Halafu kuna baadh ya kesi za aids without hiv umewahi sikia kitu kama hicho?
Mwenyewe nilivyosoma nilishangaa sana lakin kumbe hakuna hata scientific document moja inayoonesha jins hiv inasosababisha aids zaid ya kusema kwamba asilimia kubwa ya wenye aids huwa na hiv
Kuna tunda linaitwa ndulele wengine wanaita ntulantu ukilipata hili yachukue kama kumi hv yaliyoiva(njano) then yachemshe upate supu yake kisha changanya na matone matano ya mafuta ya taa baada ya hapo safisha meno yako vizuru uhakikishe hakuna mabaki ya chakula kwenye matobo then sukutua hyo...
HIV Is Not the Cause of AIDS
By Peter H. Duesberg
Science, Vol. 241, pp. 514-517,
July 29, 1988.
Human immunodeficiency virus (HIV) is not the cause of AIDS because it fails to meet the postulates of Koch and Henle, as well as six cardinal rules of virology.
1) HIV is in violation of Koch's...
Kwa wale mnaosoma au mliochaguliwa UDOM naombeni mnisaidie kwa hili,
Hadi sasa nimepata sh 282,500 za direct cost na wanasema deadline ni tarehe 30 sept.
Je nikilipa ada baada ya deadline wataipokea? Na
Je kama nikishindwa kulipa hyo ada inayobak ukitoa bodi wanayonilipia wataweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.