Kijana acha ushabiki, hata kama umekula yamini ulipokuwa India na Israel kuhusu CDM palipo na ukweli kubali. nachoamini kwa sasa CDM kuna mgogoro na unahitaji wanazi wa chama kuutatua na si propaganda zako. Hii itakuza imani ya chama kwa sisi wananchi na demokrasia kwa ujumla
Ben Kuwa makini na matamshi yako, acha propagannda. Mimi naamini kijana kutoka cdm kama wewe anatakiwa atowe mawazo ya kujenga ili watanzania wapte fursa ya kutambua mabaya ya watawala wao na waelekee kwenye UKOMBOZi but kama utaanza Prpopaganda utakuwa ni mwanzo wa kutoaminika kama kijana ktk...
Ben wewe ni nani katika chama au tanzania? Una uzalendo kiasi gani? au Unapelekwa kama gari bovu nawe unakwenda. tanzania inahitaji wazalendo na si watu wenye njaa ya kichwa
uislamu hauna chama kama ni hivyo tutawashauri ZZk na wengine kuhama cdm maana Padri na makanjanja mbowe ni wakrosto. tuache propaganda za udini humu jf kwani itapelekea yanayoendelea nigeria
Ndio maana kila asemacho mwingereza tunakubali hata kutetea ushoga tutakuwa tayari kwani hao ni 'rafiki zetu katika chama chetu' yaani friendi party. Agent wa ukoloni ni hao wamishenari, walitufanya tukubali wakoloni ni ndugu zetu,walijenga shule na hospitali kwa kutumia malighafi zetu, kwa hiyo...
mi nilidhani mchangiaji kumbe masaburi kafyatuka, hapo kwenye RED na BLUE unamaanisha nini kama sio fikra Mgando? Tukiwa na watanzania 1000 kama wewe bora nihame nchi
Kwa hiyo unamaanisha M4C Itaruhusu watu kujenga kwenye hifadhi/ Kama unawapenda watanzania wenzako toa elimu kuhusu umuhimu wa kutojenga kwenye hifadhi na si kuleta ushabiki humu JF
Kwa nini wananchi walijenga ktk hifadhi hawajui au ni viburi ili wapate kulaumu serikali. Mimi siamini kama Mwanza viwanja vimekuwa adimu kiasi hicho mpaka kujenga kwenye hifadhi. watanzania tuache tabia ya kuwa tegemezi
Acha fikra mgando kwani kugoma kwa walimu ,wafanyakazi na madaktari ndio ishara ya kuanguka serikali. Naomba utaje faida za kuanguka serikali ya JK kabla ya 2015
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.