Uhuru wa kuongea...
Siwezi kuwa mnafiki na kuficha details za mhusika!!
ni kweli amefanya hayo ivyo nimeamua kuweka mambo hadharani!!!
Kama ni wewe mwenyewe ndo tapeli au unashirikiana nae it's up to you.....
NAOMBA NIWATAHADHARISHE WABONGO WENZANGU HASA KINA DADA KUHUSU TAPELI WA KIUME ANAJIITA MIKE/STEVEN MWAKAWAGO....
IN SHORT UYU KAKA ANAJIDAI KUTUMA MSG NA KUJIDAI ANAKUFAHAM SANA NA PIA ANAJIDAI ANA QUALIFICATION KAMA YA MHUSIKA EG. KAMA MHUSIKA ANA MASTERS IN INTERNATIONAL TRADE BASI YEYE...
napenda kuwakilisha kwa machungu kabisa wizi wa wazi wazi unaofanywa na Kampuni ya simu ya VODACOM...
Vodacom imekua na dealers wengi Tanzania nzima na katika hao dealers wengi pia wanateua sub-dealers kudeal kwa niaba yao mikoani....
Vodacom imekua inatangaza sana huduma zake kwatika radio...
Nashukuru Ndugu yangu kwa ushauri wako mzuri...
hadi nimefikia hatua ya kulalamika naomba wenzagu muelewe nimejitahidi kila njia lakinin sijfanikiwa...nlianza kufuatilia hii issue kuanzia Midi-December 2007 (mkoani)....hadi leo hii mtu wa Head office (jina nahifadhi) nlipompigia simu akaniambia...
napenda kuwakilisha kwa machungu kabisa wizi wa wazi wazi unaofanywa na Kampuni ya simu ya VODACOM...
Vodacom imekua na dealers wengi Tanzania nzima na katika hao dealers wengi pia wanateua sub-dealers kudeal kwa niaba yao mikoani....
Vodacom imekua inatangaza sana huduma zake kwatika radio...
napenda kuwakilisha kwa machungu kabisa wizi wa wazi wazi unaofanywa na Kampuni ya simu ya VODACOM...
Vodacom imekua na dealers wengi Tanzania nzima na katika hao dealers wengi pia wanateua sub-dealers kudeal kwa niaba yao mikoani....
Vodacom imekua inatangaza sana huduma zake kwatika radio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.