Jamani mwanamke wa hivyo si mwanamke hata kama anavaa sketi,jamani kina dada hebu ile hulka yenu ya kike irudisheni basi
hata kidogo.Yaani unakuta dada kashupaa anamtongoza mume wa mtu silka ya kike haipo tena kawa gumegume...nyie ndio wakina mama wa kesho sasa sijui tutakuwa na kina mama wa...
Sasa mkisha fika shule si mfundishe tu hao watoto,kama mliamua kugoma mngejipanga mfanye mgomo wa ukweli au huo wa awamu ya pili mgome mgomo wa kutikisa serikali ila kwa sasa muwafundishe tu.
Alikuwepo Mtu anaitwa Moammar Ghadaffi aliyejimilikisha utajiri wa Libya kwa Miaka 40 aliishia kujificha kwenye pipa la takataka,atakuwa huyo limbukeni...
Wanawachapa wao wakiwa kama nani...? wana mamlaka gani kisheria ya kufanya hivyo?
wangewapeleka polisi hii nchi inasheria zake sio kila mtu kujiamulia.
Ningefurahi kama huu mgomo ungewagusa watoto wa vigogo,wanao lipa 5,000,000
kwa mwaka kwa elimu ya primary.
Lakini wanaokosa masomo ni walewale walio
nje ya system wanyonge,walalahoi....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.