Kinachokufanya umuite huyu Jamaa feki ni nini hasa? Yale ndio mawazo yake kuhusu muungano na kajieleza vizuri tu. Na wewe toa mawazo yako sio kutupigia kelele eti serikali tatu ni ujinga mtupu. Toa wazo lako kwa hoja zenye mashiko basi.
Ndugu unatumia nguvu nyingi sana ku-uaminisha umma we ni kipanga. Bora hizo nguvu ungezihifadhi na kuzitumia 2015 kupiga kampeni ungeweza pata hata udiwani.
Mjomba Elimu ni Elimu tu usipojipanga lazima ukamatwe. Na sio watu wa kwanza kudisco hawa ni kila mwaka watu wanadisco sema kwa kuwa taarifa watu mlikuwa hamzipati ndio maana imeonekana ni jambo la ajabu sana.
Hoja dhaifu. Cha msingi we piga msuli upate matokeo yaliyo mazuri yatakayo kusaidia huko mbeleni sio kuja kulalama tu eti wanafunzi wa UDSM wanawadharau wa UDOM. Ukiwa kama msomi inabidi ujikomboe kifikra na kuandaa hoja zenye manufaa kwa umma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.