Inaonekana mleta maada unajua Korea kusini na Korea kaskazini ni vyama vya siasa !!! Very low thinking! ... Wakae chini waelewane juu ya nini? EPA? EsiKuroo? Richmond? au 1.5 ???
Jana Hassan Ngoma, alinishangaza sana. Eti anawashangaa wabunge wa Chadema kusema kwamba maisha magumu, kukosa Maji na Huduma bora za kijamii kunasababishwa na ccm hivo msiichague. Yeye anawashangaa!
Pili anaamini kwamba maendeleo ktk jimbo yanaletwa na mbunge. Hapa ndipo unaposhindwa kuuelewa...
Wakishamaliza kuwapokonya wananchi Uhuru wao wa habari ...kinachofuata sasa nikubutua tu... Nisawa na kucheza mechi bila refa... Mijihela ya kulipia mabombayadia sasa inanunua wasemahovyo Nani atahoji???
Mukapa, Chikwete, watajwa Wote wa report za epa, Richmond, escrow, Mikataba ya siri, waliosaini mikataba ya wizi Wote na Wote wanatoka chama flani....Hawa ndio wezi wa uchumi wa Tz. Asiyelijua hili basi ajue ana PhD ya uzwazwa!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mjadala huu ndio kipimo cha kuelewa Uelewa wa Watanzania katika mambo ya msingi.
1. Hivi Adui wa Umasikini wa watanzania umesababishwa na Lissu?
2. Adui namba mmoja wa Maendeleo ya Tanzania ni Lissu? au waliokubaliana na wazungu Hawa watuibie?
3. Kwanini sasa watanzania kwa makusudi kabisa...
If that is the case....Mamvi angemmalizia kabisa Lissu huko huko Kenya alikopelekwa maana yeye na Uhuru ni Marafiki. Njoo na lingine tena hili naona linapwaya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Masahihisho Paschal: India haijawahi kupokea sheria yeyote toka Africa Kusini. 1912 SA ilikuwa chini ya utawala wa Makaburu. India ilitawaliwa na Wingereza 1746 - 1946 miaka 200. Sheria zilizotumika India zilitungwa na Bunge la Wingereza (WestMinister) liliokuwa na kazi yakutunga sheria...
Kuna tendency ya wanawake kumtegea mimba mwanaume ili aolewe. Pia wanawake wengi wanaamini sex lazima iwe na nia ya kuoana baadae. Kuna sex for leisure na wanawake wengi wa hivi hawahangaiki kumsoma mwanaume je huyu mpitanjia au mkaaji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.