Search results

  1. Bongoclever

    Jerusalem: Sababu tatu za kuzuka kwa ghasia kati ya Wapalestina na Wayahudi

    Yaan habari hata haileweki kabsa,nmetoka job nmechoka,Nimesoma na hii habari imeniongezea uchovu zaidi
  2. Bongoclever

    Kuna siri gani kwenye ulimwengu wa kiroho ukilala chali?

    Umefunga mjadala mkuu. Hii ndo kweli Kabsa
  3. Bongoclever

    Mahakama yavunja ndoa iliyodumu miaka 21 bila wanandoa kushiriki tendo la ndoa

    Mkuu😅😅😅😅😅😅😅😅👐👐👐
  4. Bongoclever

    Jinsi nilivyougua miaka mingi na kunusurika kifo baada ya kurogewa uchawi wa bundi

    Ni bora ungeweka PDF tu tuka download,inaonekana wee mvivu Wa kuandika
  5. Bongoclever

    Maajabu ya watu kufanana sura

    navyofaham reincarnation ni pale mtu anapokufa then roho yake inauvaa mwili mwingine, lakin hii ya kufanana unakuta wote wapo hai, embu nieleweshe labda vizuri mkuu Mshana
  6. Bongoclever

    Maajabu ya watu kufanana sura

    Habari Zenu Jf Members? kuna maswal mengi sana huwa najiuliza inakuwaje watu wanafanana sura na ili hali hawatoki ukoo mmoja, unakuta labda 50 cent kafanana na mtu kutoka Kenya. mpaka msemo wa dunian wawil wawil ukaibuka. hii imekaaje asee? mwenye uwelewa wa hii kitu anifafanulie
  7. Bongoclever

    Maombi ya ajira za Ualimu mwaka 2019 na utata uliopo

    daaaaah!!! watu hawana kazi mwaka ule wakasema mtume maombi through EMS mkatuma,then tena mwaka huu mtume online!!!??? they not serious kwakwel.....
  8. Bongoclever

    Rubani(pilot) v/s mhandisi(engineer)

    Habari ndugu zangu. Kati ya Pilot na Engineer ni nani mwenye mshahara mkubwa na ni ipi kati ya izo kazi yenye heshima Nawasilisha mada
  9. Bongoclever

    Msaada wandugu: Jinsi ya ku-bold maneno humu na WhatsApp

    tunashukuru kwa ufafanuzi ndugu zangu
  10. Bongoclever

    MAMBO YA KUKOPA

    hahhahha!! hatar sanaí ½í¸€í ½í¸€
  11. Bongoclever

    Serikali Yamwaga ajira kwa walimu, Yatangaza nafasi 92 kwa ngazi ya shahada nchi nzima

    kazi ipo kwel kwel! 2015 lini wanawapa ajira! its not fair at allí ½í¸¡í ½í¸¡
  12. Bongoclever

    Waliochaguliwa kujiunga na Mafunzo ya JKT kwa mujibu wa Sheria

    kwel we ni mwalmu au unazuga? Hujui moduli???
  13. Bongoclever

    Ajira mpya za walimu, pesa za kujikimu

    acha kupotosha umma, mimi ni mwalmu mzoefu kabsaa,mwaka wa 5 huu nafundsha,usitafute umaarufu kuptia ualimu
Back
Top Bottom