navyofaham reincarnation ni pale mtu anapokufa then roho yake inauvaa mwili mwingine, lakin hii ya kufanana unakuta wote wapo hai, embu nieleweshe labda vizuri mkuu Mshana
Habari Zenu Jf Members?
kuna maswal mengi sana huwa najiuliza inakuwaje watu wanafanana sura na ili hali hawatoki ukoo mmoja, unakuta labda 50 cent kafanana na mtu kutoka Kenya. mpaka msemo wa dunian wawil wawil ukaibuka. hii imekaaje asee? mwenye uwelewa wa hii kitu anifafanulie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.