Sema wana UD hawaja ajiriwa wa kutosha. Endapo katika CWT wengi wanaenda kukiongoza chama ni Madiplo holder. Mfumo mzima utabadilika na nchi itaelewa tu. Wewe tulia huko private. Wadau tutakomaa tu.
Hakuna kaka kama kawa mwanzo mwisho pindi ni story tupu. Maana hata madenti wanasemaga Ticha unamwaga ngeli mno kuliko kiswazi. Sasa ni kiswazi na story za kuing'oa serikali mbovu yenye maovu yasiyo na ncha.
Mahakama zina uhuru lakini serikali imeweka mataira wao katika mahakama hizo kujaji uupuuzi usio unamaendeleo. Jamani Tanzania inabidi tuungane tugome wote kwa pamoja watupeleke magwepande wakatu torture wote.
Kama kawaida mie nilikuwa cijamaliza sylabus na nimeshikilia masomo mawili Chemistry na Biology shule nzima haina mwalimu wa Chemistry na Biology hata mmoja na Kuna mkondo kutoka form I yani A, B, C na D hadi form four shule fulani XXXXXX na mshahara wangu kama vle mnavyojua serikali nundu hii...
Kaka usije kulia mie mwenyewe leo nina uchungu zaidi yako sema basi natumia busara na heshima ya utanzania. Inabidi wanajamii forum wote twende msituni. Au wananchi wote tugome mana vyombo vya habari havina uhuru, vinatangaza kwa hofu kuna mwananchi mmoja kapiga simu katka kipindi fulani cha TBC...
kaza buti kikomandoo. Mwambie Dr. Slaa huo mwanzo tu, uchafuzi umeanza. Mie nadhani ile kampeni ya kuweka saini na mkakati wa kumfanya mzee avunje baraza la mawaziri limemfanya achukie. Ko wamekutafuta wakahisi hapo ndo kukupa kadoa. Wadau tumelijua hilo kwa kina. Tunacheki upepo unapoenda...
Ualimu ni kazi sio kama kazi nyingine rahisi rahisi inahitaji kupewa heshima kubwa sana, Wadau wa Elimu wakubwa ni Waalimu wanavyodai haki zao ijulikane kuwa mazingira ya kazi na stahili zao haziko shwari kabisa. Uwezo wa kutoa elimu ni fani isiyo elezeka kisaikolojia kwa maana Elimu ni ufunguo...
Mie nadhani itakuwa takribani millioni 200-300 kwa mwaka. Kwasababu kwa mshahara wamewapandishia mwaka huu kwahyo wadau wamesema itakuwa m10 kwa mwezi na makorombwezo yote inazidi. Watu wanakula hela babu. Huyo mbunge mmoja je wabunge wote itakuwaje. Alafu m2 akidai nyongeza ya hata sh. 20000/=...
Serikali imetoa tamko ya kwamba wapo walimu wanawashinikiza watoto kuandamana na wanadai wamewaandalia mabango na kuwaandikia maneno ya kuhitaji haki yao ya kupata elimu. Lakini mie kama mie nataka kusema. Watoto ambao wenye ukaribu mkubwa na walimu wao ni wa Msingi ndo wanajua umuhimu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.