Search results

  1. Y

    Ni kosa gani ambalo utalijutia maisha yako yote?

    Duu hawa viumbe ni shida mi sijasomesha nilimsaidia mahitaji tu lkn kamaliza masomo kageuka jike shupa hata kupeleka barua nimeghair bora maumivu yaishie hapa hapa. Ila sijajuta naamini Mungu hupanga mambo yake na huwa hayafail kwasabab mwanadamu kapanga lake.
  2. Y

    Kwa kujifungia ndani, watalii na wawekezaji kuongezeka awamu hii ni ndoto

    Watanzania ni wanafiki huwa hatujui tunachotaka na hatuna kauli moja kwa lugha nyingine vigeugeu au labda hatujui tunachotaka. Mh. J K alikuwa anatoka sana nje akasemwa kwamba anafuja kodi kwa kusafir kwake tena ikadaiwa anakoenda si kwa manufaa ya Taifa ila starehe zake tu. Nashauri tuwe wa...
  3. Y

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Linakuhusu kwasababu umezidi utukutu
  4. Y

    Special thread: Ujinga ni?

    Ujinga ni kuilaimu ccm kwa umaskini uliosababishwa na uzembe wako wakati jirani yako anaenda sokoni na hammer alilonunua chini ya utawala wa ccm
  5. Y

    Walimu 8 wakamatwa kwa kujihusisha na mapenzi na wanafunzi

    Jamani mnatuonea bure watoto wanatutia majaribuni huwa wanatutega, so mtu aliyetegwa kunaswa ni mafanikio ya mtegaji na anguko kwa mtegwa sasa hapa aliyeshindwa ndo anaandamwa kuliko aliyekusudia. Ila nashukuru kwangu wanashindwa kuna dogo alinifata eti ananikopa buku5 halafu ananirembulia...
  6. Y

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Kikwete amehama ikulu sasa anaishi msoga
  7. Y

    Rais Magufuli katumia barabara kutoka Dar kwenda Dodoma

    2szs see eelolllllkllkSe
  8. Y

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Mchwa wana akili sana, wanaushirikiano ktk utendaji wa shughuli zao lkn watz mh!
  9. Y

    Rais Magufuli katumia barabara kutoka Dar kwenda Dodoma

    Kuna utofauti wa muda na cheo, ulikuwa waziri sio rais, ulikuwa muda uliopita ila msafara ni current, inamaana changamoto zitakuwa tofauti kwa kigezo cha muda na uwezo wa kuzishughuliki nao ni tofauti kwa kigezo cha mamlaka aliyokuwa nayo.
  10. Y

    Rais Magufuli katumia barabara kutoka Dar kwenda Dodoma

    Na akipanda fastjet mtasema apande shabiby, akipanda shabiby mtasema apande lory! Mambo ya binadaaam hayo!
  11. Y

    Rais Magufuli katumia barabara kutoka Dar kwenda Dodoma

    Hakuna mwaka ukizitoa hizo week 2, assessment zipo za sina nyingi watu walitumia ya awali kumpa kura, hii wanauomsifia ni endelevu kwahyo usitumie mihemuko yako na chuki ambayo hukuondolea imani juu ya mtu usiyempenda.
  12. Y

    Rais Magufuli katumia barabara kutoka Dar kwenda Dodoma

    Nimeskia ana matatizo ya moyo kupenda nchi take na wananchi wake, akipanda ndege hovyo na kulitia hasara Taifa atateseka sana.
  13. Y

    Rais Magufuli katumia barabara kutoka Dar kwenda Dodoma

    Wachawi wapo wa vitengo vyote, hata angani watamtungua
  14. Y

    Rais Magufuli katumia barabara kutoka Dar kwenda Dodoma

    Rais wa nchi hawezi kutembea umbali wa km 500 ndani ya ncho yake asipate kitu cha kukifanyia kazi, ktk safari hii anakuwa na fursa ya kuziona changamoto mbalimbali zinazowakabili wananchi kwa macho yake.
  15. Y

    Rais Magufuli katumia barabara kutoka Dar kwenda Dodoma

    Mr. sifuri yani sawa na hakuna kitu! mmh
  16. Y

    Rais Magufuli katumia barabara kutoka Dar kwenda Dodoma

    wewe upimwe mwili maana itikadi ya vyama imebadilisha hata uwezo wa kuona na kuskia
  17. Y

    Rais Magufuli katumia barabara kutoka Dar kwenda Dodoma

    Kwa mahitaji haya hata mkiletewa nabii mtapendekeza asile Mungu ndo amletee mlo wake ili kupunguza bajeti, kiujumla ni wachoyo wa fadhira mmelalamikia mashangingi yamesimamishwa mnaleta singe mpya!
  18. Y

    Rais Magufuli katumia barabara kutoka Dar kwenda Dodoma

    Humu ndani kuna wanyama na binadamu, basi maelewano yanapatikana kwa shida; akiongea nyani anakuja binadamu akimalizia sokwe pametibukaaaa!
  19. Y

    Msaada, nipo tayari kufa kwa penzi la bar maid

    Nakushaur kama una ndevu nyoa zote, kama una degree au masters choma vyetu ubaki na cha O level tu utapata post mpya ya A level, ukitoka nyumbani usisahau kumuaga mama yako kwani usipofanya hivyo utagombezwa sawa dogo!?
Back
Top Bottom