mwanzoni nilidhani kuwa ccm ilikuwa inawakumbatia wafanyibishara kwa kuwa walikuwa wanawakirimu au wanaisaidia ccm kifedha, kumbe ni tofauti, yaani ccm inawakumbatia wafanyibiashara ili waibe benki kuu waigawie ccm yenyewe, nilidhani akina RA, wanapesa nyingi wanaisadia ccm kumbe ni tofauti...
mwanzoni nilidhani kuwa ccm ilikuwa inawakumbatia wafanyibishara kwa kuwa walikuwa wanawakirimu au wanaisaidia ccm kifedha, kumbe ni tofauti, yaani ccm inawakumbatia wafanyibiashara ili waibe benki kuu waigawie ccm yenyewe, nilidhani akina RA, wanapesa nyingi wanaisadia ccm kumbe ni tofauti...
ungepata majina yao, na sehemu wanazotoka tanzania, isije ikawa wanataka msaada waendelee kuponda maisha hapo, je roughly wanahitaji kiasi gani cha pesa waweze kurudi? kama wapo mia moja sudan kharoum peke yake je nchi nzima inakuwaje? kama wakiweza kusafiri kwenda sudan kusini yaani juba au...
Nimefanya Kazi Vijiji Vingi Vya Nchi Yetu, Pasaka Nilikuwa Maruku Bukoba, Karamagi Alipata Wakati Mgumu Kuhutubia Mkutano Kwenye Shule Moja Ya Sekondari Ambayo Imeitwa Jina Lake, Wananchi Wanataka Jina Lake Liondolowe, Hakupata Mapokezi Ya Mafuriko Kama Ya Chenge Na Lowa-hasa, Ni Kweli Kuwa...
Nilikuwa Arusha Siku Lowasa Akitarajia Kuwa Kule Bbada Ya Kutimuliwa Uwaziri Mkuu, Madereva Walipewa Lita 15 Za Petroli, Huko Bariad Nako Si Haba, Ukweli Unabaki Kuwa Inabidi Wananchi Wakombolewe Kiuchumi Halafu Kifikra, La Sivyo 2010 Ccm Ikiweka Jiwe Kama Mgombea Linaweza Kupita ! Umaskini Wa...
tuuukubali ukweli, waliomshangilia chenge na lowasa walifanya hivyo kwa njaa zao, tunaambiwa kuwa yale magari yaliyoko kwenye msafara yanapewa mafuta toka kwenye akaunti ya vijisenti, kule bariadi kila mahali alipohutubia ngombe alichinjwa watu wakala bureee, ni mwanakijiji gani ataacha...
oneni jinsi wakenya wanavyoendelea kuchinjana kwa mujibu wa bbc leo
Watu kumi na wawili wameuawa baada ya kupigwa risasi na wengine kuchomwa wakiwa hai kufuatia mgogoro wa mashamba katika eneo la Mlima Elgon magharibi mwa Kenya.
Kwa mujibu wa msemaji wa polisi, Eric Kiraithe jumla ya nyumba...
lakini wakenya mna matatizo gani, kuna wengine wameuana tena kwa kuchomeana nyumba, wako sijui 12, wakati raila yuko mapumzikoni huko beach mombasa na kibaki anakula pilau ikulu, iwe wameuana au kwa ajili ya post election violence au swala la ardhi hapa tanznia kwetu ni maajabu, hivi kweli kuna...
ninachohisi kwenye swala la mkono kulikuwa na ufisadi, kwani alikuwa ameshalipwa around 18bn ambazo ni kama 13% ya deni inalodaiwa serikali, kwa kawaida advocate fees ni 10% of the deni, na kama deni linalodaiwa ni kubwa mna negottiate hata 5%, sasa huyu amelipwa 13% why?
pamoja na kwmaba wanayemzungumzia ni mkuu wa mkoa wa mwanza , lakini nako mbeya si haba, mkuu wao wa mkoa kazi yake ni kupambana na Dr Mwakyembe yule jemedari wa richmond aliyemtoa lowasa jasho
tunaambiwa kuwa mpaka leo ana ndoto ya kuwa tena mbunge wa kyela kiti anacbhokalia mwakyembe, kazi...
kwa waheshimiwa wabunge wa ccm, mnalo moja la kuchagua au kuwatumikia wananchi au mafisadi, mjue kuwa hao wanaowafadhili kwa mamilioni wakati wa uchaguzi, wakijidai kuwa zinatoka mfukoni mwao ni waongo, wanachota mabilioni toka hazina ya wanyonge, wanawaletea visenti, kataeni hivyo visenti na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.