Jamani watanzania wenzangu hivi sio vitu vya kukosa hakikisheni mnaangalia tbc 1 ili kufahamu ni mambo yapi rais atayaongelea Mungu akipenda kesho tutajadili yaliyotulizisha na yasiyotulizisha.RAMADHAN KAREEM
Wanajamii wenzangu hivi kwanini mahakama inashindwa kutoa maelezo ya kina kuhusu maendeleo ya kesi ya msanii Elizabeth Michael mana mtoto huyu ameendelea kukaa rumande siku hadi siku na pia anaathirika kisaikolojia.Wanajamii hii kesi inaweza ikadumu kwa muda mrefu sana mana kila akipelekwa...
Jamani hii kazi ni ya kujitolea pia unasaidia wa Tz wenzako na unapata swawabu.Ukiacha kaz unaandaa taifa la wajinga,makahaba na vibaka ambao haohao watakukaba wewe au nduguyo ata kwetu TANGA kuna shida tele za elimu ndio mana vijana wanakuwa wanganga
Nilichogundua ni kwamba watu wengi wanafwata ushabiki kwenye siasa mana jamaa ametoa uchambuzi wa maana ila watu wanajaribu kukosoa.Kwa wasomi wazuri wa sheria wanaona ukwel na ata lisu anajua ukwel ila anaupindisha anayebisha atakuwa ana mawazo chakavu na aniandikie no. ili tubishane vizuri
Jamani wadau ebu tusaidiane kwa hili hivi ni kweli kwamba c ya private candidates inaanzia 57 au ndio uzushi wa wabongo mana kuna mtu amepata four ya 27 na ana c mbili lakini hataki kutafuta c ya tatu anahofia kushindwa kufikisha 57 ameamua kuwa mjenzi
Huu mgomo wa walimu ambao unaendelea na unapamba vichwa vya habari vya magazeti mbalimbali umeanza kwenye muda muafaka?.Nimeuliza hivyo kwa sababu tarehe 3 mwezi wa 8 shule za serikali zitafungwa au utadumu mwaka mzima?
Aiseeh.. Wale walinzi wa gadafi wangekuwepo ilibidi tuwaombe wamlinde mwakyembe mana askari wa Tz wanatulinda pia haohao wanatoa kichapo kwa wanaharakati
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.