Search results

  1. K

    Salama Jabir wa Mkasi, Lugha Chafu hii Haikubaliki Hata Siku Moja

    Angekuwa ni mwanadada mwingine tofauti na salama ningesema anamtaka domo
  2. K

    JK aahidi kutuma wataalamu wa kilimo na wakulima wa zao la nanasi Ghana

    Kama atatimiza ahadi hii atastahiri kupewa pongezi
  3. K

    Mkasa wa Dr. Ulimboka: Inawezekana Kabisa Sio 'Inside Job'!, bali ni 'Smear Campaign'?!

    Ngoja tumsubiri kwanza aelezee mkasa mzima uliomkuta mana hili tukio linachanganya sana ila kwa wale wote waliohusika watakiona cha moto!
  4. K

    Jk live tbc1

    Jamani watanzania wenzangu hivi sio vitu vya kukosa hakikisheni mnaangalia tbc 1 ili kufahamu ni mambo yapi rais atayaongelea Mungu akipenda kesho tutajadili yaliyotulizisha na yasiyotulizisha.RAMADHAN KAREEM
  5. K

    Maskini lulu jela IMEMJERUHI

    Wanajamii wenzangu hivi kwanini mahakama inashindwa kutoa maelezo ya kina kuhusu maendeleo ya kesi ya msanii Elizabeth Michael mana mtoto huyu ameendelea kukaa rumande siku hadi siku na pia anaathirika kisaikolojia.Wanajamii hii kesi inaweza ikadumu kwa muda mrefu sana mana kila akipelekwa...
  6. K

    Ushuhuda: Nilikimbia Ualimu Kuepuka Matatizo

    Jamani hii kazi ni ya kujitolea pia unasaidia wa Tz wenzako na unapata swawabu.Ukiacha kaz unaandaa taifa la wajinga,makahaba na vibaka ambao haohao watakukaba wewe au nduguyo ata kwetu TANGA kuna shida tele za elimu ndio mana vijana wanakuwa wanganga
  7. K

    Harakati za Chadema na mbinu za kuchukuwa dola

    Nilichogundua ni kwamba watu wengi wanafwata ushabiki kwenye siasa mana jamaa ametoa uchambuzi wa maana ila watu wanajaribu kukosoa.Kwa wasomi wazuri wa sheria wanaona ukwel na ata lisu anajua ukwel ila anaupindisha anayebisha atakuwa ana mawazo chakavu na aniandikie no. ili tubishane vizuri
  8. K

    C inaanzia 57

    Jamani wadau ebu tusaidiane kwa hili hivi ni kweli kwamba c ya private candidates inaanzia 57 au ndio uzushi wa wabongo mana kuna mtu amepata four ya 27 na ana c mbili lakini hataki kutafuta c ya tatu anahofia kushindwa kufikisha 57 ameamua kuwa mjenzi
  9. K

    Wamechelewa kugoma

    Huu mgomo wa walimu ambao unaendelea na unapamba vichwa vya habari vya magazeti mbalimbali umeanza kwenye muda muafaka?.Nimeuliza hivyo kwa sababu tarehe 3 mwezi wa 8 shule za serikali zitafungwa au utadumu mwaka mzima?
  10. K

    DK. Mwakyembe: Nishaonja kifo siogopi kufa

    Aiseeh.. Wale walinzi wa gadafi wangekuwepo ilibidi tuwaombe wamlinde mwakyembe mana askari wa Tz wanatulinda pia haohao wanatoa kichapo kwa wanaharakati
  11. K

    CCM yaishukia CHADEMA suala la TUHUMA za Rushwa kwa wabunge

    Nape wambie hao wanaowadanganya wa Tanzania
Back
Top Bottom