BABY SITTER NEEDED
A Dynamic, Child loving, Caring female baby sitter is needed by a Tanzanian family in USA. Anyone above 36 years of age, having a valid Tanzanian Passport with Interest, PLEASE URGENTLY CONTACT 0784 778778 or afrosense255@gmail.com.
Hii Movie Inachanganya sana, nahisi imeanzia Mwisho au tunachokiona sasa ni "Behind the Scene"... dawa ni Kupuuza kwanza ya sasa... staying tuned for the real and only One Original Reloaded Tanzania Politics Movie....
Unless Unatafuta Mke wa kufanya naye Matambiko, lakini Mapenzi wise, walio wengi wanatofautiana sana na General Overview ya Makabila yako... wekeza Moyo wako Kwake na Umfanye awekeze wake kwako... popote kwa lolote Mtakuwa pamoja...
Kuna Haja ya Kuandika Upya Historia na Wasifu wa Tanzania, Nchi hii ni Zaidi ya Muungano wa Tanganyika na zanzibar, na kuna Zaidi ya Siku ya Uhuru na Harakati Zake... Kuna Wenye Wasifu wa Kuwafunika kina Kinjekitile, Mkwawa...
Proud Tanzanian....
Hata huko Kufukuzwa kazi Ifanywe Public Pumbaf zake...Akafungue Biashara yake ya "Vitafunio Amplified" Shenzi Zake... Bora Game Lenyewe Angelimudu basi... Sleepy...Lazyy..... Bhokelised....";<|"{:<>?????<$$%^&&:"".....fu...
Ahahahaaaa.... Nimeona CD, I'm tring to Upload... Cheepy, lazy, hopeless lady... That was "Bhoke's connect the Amplified connection", Full Upumbavu na Aibu, na Bado anaropoka ameliwakilisha taifa... haihitajiki tume Kujua huu ni Upuuzi na Aibu plus kwa taifa kwa yaliyofanywa na huyu Kicheche...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.