Search results

  1. achonya

    Kuna mtu anataka kunipiga (Kunitapeli)

    Scammer huyo....
  2. achonya

    Series za 24hrs

    Nicheki, Ninazo kuanzia Season 1 Mpaka ya Mwisho. Legacy...
  3. achonya

    Mbunge wa Kawe Halima Mdee, ashinda kesi ya Uchaguzi dhidi ya Kippi Warioba

    Hajashinda na Hakukuwa na Kesi iliyotajwa Leo ya Uchaguzi jimbo la Kawe....
  4. achonya

    Baby sitter needed

    BABY SITTER NEEDED A Dynamic, Child loving, Caring female baby sitter is needed by a Tanzanian family in USA. Anyone above 36 years of age, having a valid Tanzanian Passport with Interest, PLEASE URGENTLY CONTACT 0784 778778 or afrosense255@gmail.com.
  5. achonya

    Msaada: Series ya 24

    Ninayo From Season 1 to 9 + Behind the Scene... Total ni 74.6GB. Sipo Dar...(afrosense255@gmail.com)
  6. achonya

    Serikali inapuuza: Mabinti wa kitanzania wanaojiuza Delhi - Miss Pwani naye ajilipua mitaani...

    Sources ni mimi mwenyewe na baadhi ya mademu niliwanunua delhi
  7. achonya

    Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    Du... Kuna Kirusi Kimekula file la uzi huu kwenya PC ya Mleta Uzi... na hakumbuki alichoandika.
  8. achonya

    Hali inayoendelea sasa Ndg Zitto, Mwigulu, Shonza, Nape, Mchange na Mwampamba wahojiwe

    Hii Movie Inachanganya sana, nahisi imeanzia Mwisho au tunachokiona sasa ni "Behind the Scene"... dawa ni Kupuuza kwanza ya sasa... staying tuned for the real and only One Original Reloaded Tanzania Politics Movie....
  9. achonya

    Kabila gani nibora kwa kupata Mke ambaye anaweza kufaa nakushi mazingira yeyote

    Unless Unatafuta Mke wa kufanya naye Matambiko, lakini Mapenzi wise, walio wengi wanatofautiana sana na General Overview ya Makabila yako... wekeza Moyo wako Kwake na Umfanye awekeze wake kwako... popote kwa lolote Mtakuwa pamoja...
  10. achonya

    Goldie Harveys Husband Blasts Prezzo - Youve Caused Enough Hurt & Pain

    ...The True Love Price is always too high...
  11. achonya

    Lowassa ni msafi, Lakini kuna kitu hiki...

    Kuna Haja ya Kuandika Upya Historia na Wasifu wa Tanzania, Nchi hii ni Zaidi ya Muungano wa Tanganyika na zanzibar, na kuna Zaidi ya Siku ya Uhuru na Harakati Zake... Kuna Wenye Wasifu wa Kuwafunika kina Kinjekitile, Mkwawa... Proud Tanzanian....
  12. achonya

    Heche ahutubia Mkutano nchini Albania, Aionyesha Dunia Ukandamizaji wa Demokrasia unaofanyika nchini

    ....du... Kumbe haya Matukio ni Mtaji kwa wengine..?
  13. achonya

    Swali la kizushi

    Ahahahaaaa... Nimependa sana haya Majibu... Ngoja Nilewe kwanza...
  14. achonya

    PowerBreak Fast Clouds FM na CD ya Ngono

    Hata huko Kufukuzwa kazi Ifanywe Public Pumbaf zake...Akafungue Biashara yake ya "Vitafunio Amplified" Shenzi Zake... Bora Game Lenyewe Angelimudu basi... Sleepy...Lazyy..... Bhokelised....";<|"{:<>?????<$$%^&&:"".....fu...
  15. achonya

    PowerBreak Fast Clouds FM na CD ya Ngono

    Ahahahaaaa.... Nimeona CD, I'm tring to Upload... Cheepy, lazy, hopeless lady... That was "Bhoke's connect the Amplified connection", Full Upumbavu na Aibu, na Bado anaropoka ameliwakilisha taifa... haihitajiki tume Kujua huu ni Upuuzi na Aibu plus kwa taifa kwa yaliyofanywa na huyu Kicheche...
  16. achonya

    Kapuya, hii kali...! Ipe maneno picha hii

    Chezea Kapuya wewe... Ponda mali Kufa kwaja....Aghaa.....LOL
  17. achonya

    MIss utaliii 2010/2011 akataaa gari alilokabidhiwa kwa siri na CHIPUNGAHELO

    .&#1604;&#1583;&#1575;&#1608;&#1583; &#8206;&#1576;&#1575;&#1585;&#1603;&#1610; &#1610;&#1575; &#1606;&#1601;&#1587;&#1610; &#1575;&#1604;&#1585;&#1576; &#1608;&#1603;&#1604; &#1605;&#1575; &#1601;&#1610; &#1576;&#1575;&#1591;&#1606;&#1610; &#1604;&#1610;&#1576;&#1575;&#1585;&#1603...
  18. achonya

    Fiesta marufuku mbeya - mr. Ii asema

    Hivi hili linawezekanaje? Mbunge ana mamlaka Hayo? Au huu ni Mtindo Mpya wa majukwaa ya Siasa kuingilia mamlaka halali za Serikali?
Back
Top Bottom