Ha ha ha watu hawaelewi tu..chumvini kna madhara sana ndio knachosababisha cancer ya shingo sio koo kwa wanaume ulaya wanataka kupitisha sheria ile kinga ya cancer ya kizazi ambayo wanapewa wanawake na wanaume wataanza kupewa ila kuepusha cancer ya koo wale virus wanao sababisha cancer ya kizazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.