Afya ya Dr. Idrisa Rashid aliyekuwa Gavana BoT ni mbaya? anaumwa nini? na mke wake wa pili alikufa na nini? na sasa nimesikia ana mke wa kiarabu kama wa mshika dau.
mwenye data anipe hapa.
Inside infor. matokeo ya REDIT mpaka sasa JK na serikali yake Kutoka 80.28% hadi 47.60% mchakato huu bado una endelea sehemu mbali mbali nchini , sehemu kubwa wana tumia simu kuwaambia wahusika kukusanya maooni mikoani watu wengi wanaoulizwa ni makada wa chama husika,na mambo mengine yata...
WanaJF waliojitoa na kutokuwa na imani na serikali ya JK, Hasara nitakuwa wa kwanza kutokana na yanayoendelea katika uongozi wake, na kuwa na washauri wabaya.
Nimejitoa kuanzia leo.
Sasa ninaamini kwamba JK anafuata usauri wa WanaJF kijiwe kidumuu
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais Jakaya Kikwete amemteua na kumwongeza Mhe. Iddi Simba kuwa mmoja wa wajumbe wa Kamati ya kuangalia upya mikataba ya uchimbaji wa madini, Kamati ambayo iko chini ya Uenyekiti wa Mhe...
heshima mbele mkuu
mimi siwezi kufanya hivyo itakuwa ni laana kwa watanzania ninaomba mungu anisaidie kila kitu pesa pesa tu mimi nilitishiwa kuweka hizo picha nikampa mwanakijiji sasa zimempandisha chati ninaomba tu asije akanitaja kwa sababu tuna fahamiana sana na mwanakijiji.
ninahofu...
Mwanakijiji ukimwaga Mboga mimi nitamwaga Ugali :o
picha bado ninazo nitaziweka hapa -umetusaliti
Kashfa ya ufuska dhidi ya Kikwete ( 1 2 3 4 5 ... Last Page)
hasara--''vibweka vya wakubwa''
SIKUJUA JAMBO FORUMS NI DEAL........
Lowassa,JK wa mnunua Mwanakijiji Bei Mbaya kuhusu Picha Chafu za kashifa na ushaidi mwingi aliyo nayo MWJ kuhusu viongozi hao na wengine ,kwahiyo wameamua kumrudisha kundini kwa pesa nyingi na kumu offer nafasi ya kazi serikalini na hakuna anaye mjua...
Ukiitwa Mswahili Maana Yake ni nini ?-Kikwete
Ni kweli baada ya kumchafua Salim A. Salimu anampa nafasi kamati kuu,baada ya kumuwanika Salimu kuwa ndiye aliyehusika kumuuwa Rarume kwenye magazetila mwananchi wakati wa kampeni 2005.
Aibu tupu Dodoma
2007-11-07 15:40:07
Na Mary Edward, Dodoma
Licha ya kinyang`anyiro cha uchaguzi wa Chama cha Mapinduzi CCM, kumalizika salama, lakini aibu zilizotokea huko zimebaki kuwa simulizi katika mji mzima wa Dodoma.
Habari za uhahika zilizolifikia gazeti hili zinadai...
Kingunge, Sumaye nje Kamati Kuu
2007-11-07 10:20:29
Na Beatrice Bandawe, Dodoma
Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (NEC), jana ilimpitisha Bw. Yusuf Makamba, kuwa Katibu Mkuu wa chama hicho kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.
Wajumbe mashuhuri wa Kamati Kuu ya zamani ambao hawamo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.