yes bro,upo sawa kabisa,kwa sababu teknolojia nyingi tunatumia mfumo wa kimataifa kutokana na chama cha umoja wa mainjini IEEE,mfano vipenyo vya dvd,karatasi za A4,umbo la simcards e.t.c
Hapo ni kwamba Emergency number ina ruhusa kutumia mnara wowote ulio karibu wa simu either voda,airtel etc.Cause ni kitu kimeshawekwa,Uki dial 911 mnara wowote unatoa msaada wa mawasiliano kwenda sehemu husika,Hata kama laini haipo,Namba hizo tayari zimeshasetiwa kutumiwa bure.
Niliishaitumia ipo fresh kamera ya 3.15MP,Inatoa picha clear sana,Nadhani unazungumzia G5570 galaxy mini,Original ni original tu,hata ukiiona utagundua tu,Sijui unazungumzia fake zipi,hakuna fake zaidi ya zile za kichina.Thanks
Usijisifu una mbio msifu anayekukimbiza,Competition sio rahisi kihivyo jamani,after 10 years google tutaisahau na itaonekana ni Oldiz,watu wametuliaaaaa tuliiii wanaumiza vichwa.
Apple wakitengeneza mawe samsung watakuwa mstari wa mbele kupiga copy,Ila nadhani mawe ya Apple bado yatauza sana,Blackberry wana fangirls,je?samsung galaxy wana?
Apple watabaki kuwa best kwa sababu maneno hayajengi,tazama ipod,ipad,imac na iphones,kwa kweli jamaa wanateka soko zima la computers,usilinganishe samsung na apple,kwanza linganisha nokia na samsung then fainal compete na apple.siri,case,ios na upload ability zinaiweka iphone4s juu. Case ya s3...
How many digit number can be formed from the numerals 1,2,3,4,5,and6 without numerals being repeated?hapo tuna guess password kwa kutumia probability,inamaanisha hizo nambari sita hapo juu zinaweza kutoa numerals ngapi,haya twende kwenye math, 1 mara 2 mara 3 mara 4 mara 5 mara 6=720 kwa hiyo...
Hapo mjomba ni invertor tu mambo yote,utawasha hadi taa 12,cause itaamplify toka 12 volts mpaka 220V kama umeme wa Tanesco,kuliko kununua kifaa cha kubadili A.C to DC,kwanza utawasha hadi feni na tv ila ni vizuri zaidi uwe na solar kuepuka usumbufu.
Namtambua samsung kama mkali wa kucopy na kupaste,kubuni simu kama galaxy S2,s3 ni ndoto kwao bila kuwepo kwa iphone cause wenyewe ni wakali wa kutengeneza vyoyoz,fridge,laptop,battery, tv na kamera.Apple ni kampuni linalobuni computers tu.
So samsung kumpiku apple ni ndoto za alinacha,na...
Inamaanisha hiyo software alikupa nani au ni huyo dogo,ila haina mbaya ni kanuni moja tu na software yangu yangu, mi huwa natumia symbol lakini mara nyingi ni boolean language,kwa sababu ukikosea kidogo tu kwny symbol mpango mzima umeharibika.
kweli mwana hata mimi huwa nawabana sana wakijaga kututembelea mavast letu.ila kwa kuwa tuko mtu mbili tutachonga sana kweny emails mwana aminia sana mkali wangu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.