dah mimi mwenyewe kidume lakini full time kwapa langu kipara, hata za huku ikulu nako lazima ninyoe..najua wanaume wengi hawanyoi, ila kama ni mwanamke hata kama mzuri vipi akiwa na msitu kwapani tu, kashapoteza mvuto kwangu..Hivi kama kwapani kuko hivyo je uko kwingine vp?
dah mimi mwenyewe kidume lakini full time kwapa langu kipara, hata za huku ikulu nako lazima ninyoe..najua wanaume wengi hawanyoi, ila kama ni mwanamke hata kama mzuri vipi akiwa na msitu kwapani tu, kashapoteza mvuto kwangu..Hivi kama kwapani kuko hivyo je uko kwingine vp?
daah,watu wakali mi ilikuwa ni siku ya valentine nilinunu zawadi kidogo kama pipi nyingi na karatasi yenye ujumbe wa mapenzi nikampa mshkaji wangu aipeleke, alikubali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.