Habari za majukumu ndugu zangu nilikuwa naomba mwenye taarifa kuhusiana na nafasi ya kazi ya IT SPECIALIST wa TRA SACCOS tulio fanyaga interview pale TRA katika chuo chao cha kodi kilivhopo mwenge kule mpaka leo naona kimya hivi ile interview ilishiaga wapi? au kuna mmoja wetu alishapataga ile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.