Acha ushabiki na badala yake jielimishe na kufatilia mambo. Kuna watu mnaandika vitu vinaonesha hasa uwezo wenu mdogo wa kufikiri na kuchambua mambo. Hao wakipigwa mtaanza kuja kulalamika.
Dont be stupid hakuna nchi ya Middle East inaweza hata nusu kufikiria kupigana na Israel. Hiyo Iran kila...
Hospitali ya Wilaya ya Mkoa wa Kagera? Iweke vizuri Mkuu kama ya Rufaa ya Mkoa au ya Wilaya ipi?
Lini, na ni Dawa gani hiyo ambazo zote hukupewa ila wa cash akapewa?
Imani za kshirikina tu, hakuna kitu kama hiko katika masuala ya saikolojia ya Soka Duniani.
Inaondoa uoga uoga upi viwanja vyote vina standard zinajulikana na wala hawatoche peku.
Al Ahly mabingwa wa kihistoria na huwa hawafanyi hiyo tabia.
Una point, hakusimamia vizuri majukumu yake. Alikaa muda wote akakubali wahuni waendelee na mipango miovu huku akijua kuwa wanafanya kinyume. Hata kutangaza ni kutokana na pressure alizokuwa akizipata kuwa kwa nini unashindwa kusimamia katiba.
Wewe itakuwa Sukuma gang siwezi kukushangaa kuongea utumbo huu. Yani hii nchi imekuwa geto lako eti Bashiru, uko serious kabisa mtu mzima unaadika huu ujinga humu. Ndio maana ulifeli form 4
Ahsante Mkuu, unaweza kutusaidia kutuwekea katika lugha yetu, tupate elimu zaidi wengine shule msingi. Kaka uta edit uweke kwa kiswahili itakuwa bora zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.