Habarini za wakati huu memberz wenzangu.
Nimekuja humu kuomba ushauri/ tiba ya ugonjwa unaonisumbua.
Ni takriban mwezi wa 6 huu nagusa mfano wa kipele/kinundu kirefu kinachouma ndani ya uke (nikilala chali nakishika kabisa).
Awali nilidhani huenda ni mchubuko tu nikajua nitapona hvo sikutilia...
Hii picha inatrend sana hasa Tanzania ikizungumziwa masuala ya mvua na mafuriko.
Naomba picha hii ikiwa full.
Yaani nyumba full.
Kuna 10,000/= cash kabla ya saa 06:00 asubuhi.
Nipe picha ya hii nyumba ikiwa full na paa lake hili linaloonekana kama lilivyo
Karibuni kwenye mpambano.
10,000...
Sasa hivi vijana walio wengi hawataki wasichana rika lao na wanahitaji kulelewa tu.
Mikoa inayoongoza ni Dar es Salaam, Dodoma, Arusha sio kwa kiwango kikubwa ila wapo, pamoja na Mwanza. Wazazi wa vijana wa sasa,kuna walakini kwenye malezi yenu.
Tusipoangalia, Tanzania itajaa vijana tegemezi...
Muhimbili hospitali tawi la Mloganzila Kibaha wanaweka kuanzia Milioni 3.5 mpaka Milioni 4.
Hospitali za AgaKhan na Hitech Sai nilisikia wao wanaweka kuanzia Mil4.5 mpaka Mil5.5
Unaweza kaa na puto kwa miezi 6, 9 na mwaka mmoja. Masharti yapo kwenye tovuti ya Mloganzila hospital au AghaKhan na...
Habari za wakati huu wanafamilia wote wa Jamii Forums, hasa wa jukwaa hili la MMU.
Nimekuja kuleta tatizo langu kwenu hapa jukwaa ili kama kuna mtu/daktari/mtoa ushauri/mwanasaikolojia atakayeweza kunisaidia basi na aweze kunisaidia. Japo ni tatizo la aibu au la fedheha, lakini nina imani...
Mimi nakumbuka kabla dada yangu wa kwanza kuzaliwa hajaolewa, yeye ndie tulikuwa tunamuonea kwenye kupika kila siku.
Dada yangu alikuwa hana jinsi maana sisi ndio tulikuwa wadogo zake. Ila akimaliza kupika sasa, hivyo vyombo vichafu mpaka juu ya dari....ila mwisho wa siku tunaelewana na kupiga...
Hii ndio inayotumika.
Hakuna cha sindano wala moto.
Hata wewe unaweza kuuza maji haya ukifuata process niliyoielezea.
Kama una kopo hapo kwako lenye kifuniko nilichosema, fanya jaribio sasa hv.
Afu uje utupe mrejesho
chinchilla coat na yello masai naomba niwafafanulie vizuri ili mpate kuelewa.
Mkuu KUTATABHETAKULE huenda yuko sahihi au pia hayuko sahihi.
Ni hivi, chupa ikishaisha maji mfano ya uhai au kilimanjaro au masafi au dasani, kinachofanyika pale ili kuweza kupata maji haya mnayosema yana ladha mbaya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.