Habari za wakati huu wanafamilia wote wa Jamii Forums, hasa wa jukwaa hili la MMU.
Nimekuja kuleta tatizo langu kwenu hapa jukwaa ili kama kuna mtu/daktari/mtoa ushauri/mwanasaikolojia atakayeweza kunisaidia basi na aweze kunisaidia. Japo ni tatizo la aibu au la fedheha, lakini nina imani...
Mimi nakumbuka kabla dada yangu wa kwanza kuzaliwa hajaolewa, yeye ndie tulikuwa tunamuonea kwenye kupika kila siku.
Dada yangu alikuwa hana jinsi maana sisi ndio tulikuwa wadogo zake. Ila akimaliza kupika sasa, hivyo vyombo vichafu mpaka juu ya dari....ila mwisho wa siku tunaelewana na kupiga...
Hii ndio inayotumika.
Hakuna cha sindano wala moto.
Hata wewe unaweza kuuza maji haya ukifuata process niliyoielezea.
Kama una kopo hapo kwako lenye kifuniko nilichosema, fanya jaribio sasa hv.
Afu uje utupe mrejesho
chinchilla coat na yello masai naomba niwafafanulie vizuri ili mpate kuelewa.
Mkuu KUTATABHETAKULE huenda yuko sahihi au pia hayuko sahihi.
Ni hivi, chupa ikishaisha maji mfano ya uhai au kilimanjaro au masafi au dasani, kinachofanyika pale ili kuweza kupata maji haya mnayosema yana ladha mbaya...
Ule wa Chit Chat?
Pale nimewadhalilisha au nimewasifia ili na mimi nipate mbinu za kuwa online muda wote?
Wao masaa 24 wako online.
Wanipe mbinu namimi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.