Search results

  1. AmKATRINA

    Nawezaje kuachana na mwanaume mbabe anayeniingilia kinyume?

    Habari za wakati huu wanafamilia wote wa Jamii Forums, hasa wa jukwaa hili la MMU. Nimekuja kuleta tatizo langu kwenu hapa jukwaa ili kama kuna mtu/daktari/mtoa ushauri/mwanasaikolojia atakayeweza kunisaidia basi na aweze kunisaidia. Japo ni tatizo la aibu au la fedheha, lakini nina imani...
  2. AmKATRINA

    Hebu tukumbushane maisha yetu ya nyuma yalivyokuwa majumbani mwetu

    Mimi nakumbuka kabla dada yangu wa kwanza kuzaliwa hajaolewa, yeye ndie tulikuwa tunamuonea kwenye kupika kila siku. Dada yangu alikuwa hana jinsi maana sisi ndio tulikuwa wadogo zake. Ila akimaliza kupika sasa, hivyo vyombo vichafu mpaka juu ya dari....ila mwisho wa siku tunaelewana na kupiga...
  3. AmKATRINA

    Kiwanda cha maji MASAFI mnahatarisha afya zetu

    Hii ndio inayotumika. Hakuna cha sindano wala moto. Hata wewe unaweza kuuza maji haya ukifuata process niliyoielezea. Kama una kopo hapo kwako lenye kifuniko nilichosema, fanya jaribio sasa hv. Afu uje utupe mrejesho
  4. AmKATRINA

    Kiwanda cha maji MASAFI mnahatarisha afya zetu

    chinchilla coat na yello masai naomba niwafafanulie vizuri ili mpate kuelewa. Mkuu KUTATABHETAKULE huenda yuko sahihi au pia hayuko sahihi. Ni hivi, chupa ikishaisha maji mfano ya uhai au kilimanjaro au masafi au dasani, kinachofanyika pale ili kuweza kupata maji haya mnayosema yana ladha mbaya...
  5. AmKATRINA

    Nahitaji mpenzi wa kiume

    Ngoja nakutext
  6. AmKATRINA

    Nahitaji mpenzi wa kiume

    Hahaha kwa kweli. Nimemwambia awekw ushahidi anakazana ile yako ingine, ipi sasa.
  7. AmKATRINA

    Nahitaji mpenzi wa kiume

    Nimekuja wasap uko kimya
  8. AmKATRINA

    Nahitaji mpenzi wa kiume

    Ana stress zake za maisha ya mtaani. Anitokee hapa
  9. AmKATRINA

    Nahitaji mpenzi wa kiume

    Huna ushahidi. Sema lingine.
  10. AmKATRINA

    Nahitaji mpenzi wa kiume

    We unataka kulelewa mimi ninataka kulelewa pia
  11. AmKATRINA

    Nahitaji mpenzi wa kiume

    Ungetaja Id ningejua la kusema ila huna ushahidi mkuu. Weka ushahidi. Ni kitu rahisi sana.
  12. AmKATRINA

    Nahitaji mpenzi wa kiume

    Acha kubania watu riziki zao
  13. AmKATRINA

    Nahitaji mpenzi wa kiume

    Si utaje hiyo Id? Itaje?
  14. AmKATRINA

    Nahitaji mpenzi wa kiume

    Mie sikuelewi ujue. Hebu taja hiyo Id unayosema kwanza. Nachekeana nao kivipi?
  15. AmKATRINA

    Nahitaji mpenzi wa kiume

    Ule wa Chit Chat? Pale nimewadhalilisha au nimewasifia ili na mimi nipate mbinu za kuwa online muda wote? Wao masaa 24 wako online. Wanipe mbinu namimi
  16. AmKATRINA

    Nahitaji mpenzi wa kiume

    Nimeshajieleza hapo juu
  17. AmKATRINA

    Nahitaji mpenzi wa kiume

    Nataka wa miaka kuanzia 35 kwenda mbele
  18. AmKATRINA

    Nahitaji mpenzi wa kiume

    Sijui na sielewi unachoongea. Wewe ni mwanaume au mwanamke? Hapa natafuta mchumba. Kama una kaka yako mletw
  19. AmKATRINA

    Nahitaji mpenzi wa kiume

    Wapi?
  20. AmKATRINA

    Nahitaji mpenzi wa kiume

    Post unaedit wapi. Umri wa mwanaume ni miaka 35 na kuendelea
Back
Top Bottom