Search results

  1. Kilbark

    TANZIA Rapa mkongwe wa Hip Hop, Coolio afariki Dunia

    OPIOID SILENT KILLER
  2. Kilbark

    Buriani Hassan Chikusa msomi mkimya

    BURIANI. KWA HAKIKA NI PIGO KUBWA KWA SISI TULIOMFAHAMU KUPITIA MITANDAO NA MAANDIKO YAKE JAPO KWA UCHACHE. NISEME ALIKUWA MTU MUUNGWANA ALIYEHESHIMU KILA MTU. PIA ALIIJUA HISTORIA NA MATUKIO MBALIMBALI YA NCHI HII VYEMA.
  3. Kilbark

    Mrusi aliyetengeneza Ak-47

    AK ni noma chukua chimbia ardhini kavu kavu fukua test mtambo. Ngoma jino moja. Ni bunduki imara mno ambayo inahimili mazingira magumu. Kuna aina nyingi za AK 47 kutokana na maendeleo ya teknolojia.
  4. Kilbark

    Serikali yaandaa Mswada wa taratibu za uvunaji na upandikizaji viungo vya binadamu

    Hii Bill itakapo jadiliwa na kupitishwa kwa kura na Bunge la JMT, na kisha rais kuridhia na kuwa sheria, tutegemee ulanguzi,ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu pamoja na mauaji. Pengine serikali pamoja na bunge watatakiwa kuweka vipengele maaalum kisheria baina ya donor na recipient na...
  5. Kilbark

    Thomas Isidore Sankara: Taa ya AFRIKA iliyozimika ghafla ikiwa na umri mdogo wa miaka 38 kwa mapinduzi na kuuawa na Rafiki yake Kipenzi

    Sankara alimkejeli Rais wa Ivory Coast Houphet Boigny na kumuita kibaraka wa mabeberu hususan Ufaransa. Campaore amemuoa mtoto wa Boigny. Boigny alikuwa na ushawishi mkubwa wakati huo, kikanda na kimataifa na aliheshimika kwa kuwa mtu senior wakati ule. Hakuna kiongozi ambaye alithubutu...
  6. Kilbark

    Zitto Kabwe afunguka kuhusu Dr. Bashiru kumtaka CCM

    Na kuwepo kwake ACT hakutamaliza shida za watanzania.....Zaidi ya maslahi
  7. Kilbark

    Kuyumba na kufa kwa UCC, Chuo Kikuu UDSM chatoa ufafanuzi

    Ninachoona hapo ni kama mtiririko wa majungu na kupakana matope unaochagizwa na kundi moja dhidi ya kundi jingine. Hakuna jipya hapo ni maslahi tu.
  8. Kilbark

    Yawezekana ikawa ni masharti ya mganga...

    Bado muda wake haujafika. In fact DAB is a manifestation of the man himself. All of his action are depictions and result of his intentions. DAB is like an operated and programmed machine that does not think. Even dogs think over consequences of their actions. But if you read between the lines...
  9. Kilbark

    Bwana Heri jiandae mapema, unatafutiwa uchochoro wa kutokea

    Bwana Heri= Majaliwa, Kijana wa New York = Bashite, Mzee wa Misuti na Miraba= Lugola, Figo= Korosho....... .Akili za kuambiwa changanya na za kwako.
  10. Kilbark

    Kitengo hatari zaidi katika MOSSAD

    GOLDA MEIER
  11. Kilbark

    Makosa ya Mtandao: Mbaroni kwa ‘kumtukana’ Naibu Spika, Tulia Ackson

    Hakuna mahali alipotukana. Narudia. Hakuna mahali alipotukana.
  12. Kilbark

    Mtatiro aanza 'kufaidi mafanikio' hata kabla ya kujiunga rasmi CCM

    Hakuna kitu kibaya kama kufanya jambo kwa kufuata maelekezo hata kama dhamira yako haitaki na sio sahihi. Njaa kitu kibaya sana.
  13. Kilbark

    President Mobutu Sese Seko of Zaire

    Mobutu, Kasavubu, Moise Tshombe wote waligeuzwa kuwa vibaraka wa mabeberu ila Mobutu aliitumia fursa hiyo vizuri kwa kuwamaliza wote na kuitawala Zaire.
  14. Kilbark

    Mwanadada yule wa Ughaibuni alikuwa sahihi sana na alistahili kuungwa mkono na watu binafsi pamoja na taasisi za kiraia

    Tatizo maneno mengi.....Tumekosa uthubutu katika mambo ya msingi...siasa tutaiweza?
  15. Kilbark

    Yaliyojiri kuagwa kwa mwili wa Samuel Sitta, Viwanja vya Karimjee

    Ha ha ha ha ha! Mkuu umeniacha hoi kwa kucheka. Mbavu zinauma.
  16. Kilbark

    Dawa za Sh. Bilioni 2 hazijafika Muhimbili toka Keko tangu Mei 2012

    Duh! Majipu limegeuka kuwa msamiati mkuu wa kisiasa na kupoteza maana yake halisi. Ama nadhani huu ni wakati wake baada ya neno ufisadi. Hata hivyo mchakato wa utumbuaji unahitaji utaalam na umakini na sio kujitafutia umarufu wa kisiasa kama inavyofanyika sasa.
  17. Kilbark

    Kwa habari zilizonifikia, nyeti na zilizotoka jikoni kwao muda si mrefu ni kwamba.....

    Fikra za kimasaburi , mawazo ya kimasaburi,akili za kimasaburi na maamuzi ya ki masaburisaburi. Ikifika Oktoba 25 mwaka huu wa 2015,utachagua Masaburi. Kila la heri kwa uamuzi wako unaouamini wewe. Wenzako wanapanga.mikakati ya kukutia kwenye masaburi vitatu utulie.
  18. Kilbark

    CHADEMA kuna Ombwe la Uongozi

    Anza na CCM kisha umuulize mzee Nassor Moyo, Mzee Ntagazwa, Mzer Lwaitama na wengineo. Chadema ya Mbowe ni tofauti na ile ya Bob Makani ama Mzee Mtei. Hizi siasa za leo ni siasa huria haijalishi itikadi ama unaamini nini. Isipokuwa makubaliano na maridhiano yenye malengo yanayofanana chanya na...
  19. Kilbark

    TANZIA Mwanachama wa JamiiForums & Mgombea Ubunge Lushoto(CHADEMA), Mohamedi Mtoi afariki ktk ajali

    R.I.P Pigo kwa Chadema na makamanda wapenda mabadiliko wote. Mtoi hakuwahi,hajawahi na hakuwa msaliti. Na alipambana mpaka tone la mwisho la damu yake. Mods kama itawapendeza na kama utaonekana umuhimu uanzishwe uzi maalum kwa ajili ya ku pay tribute kwa Kamanda Mtoi. Tujikumbus hebposts zake...
Back
Top Bottom