BURIANI. KWA HAKIKA NI PIGO KUBWA KWA SISI TULIOMFAHAMU KUPITIA MITANDAO NA MAANDIKO YAKE JAPO KWA UCHACHE. NISEME ALIKUWA MTU MUUNGWANA ALIYEHESHIMU KILA MTU. PIA ALIIJUA HISTORIA NA MATUKIO MBALIMBALI YA NCHI HII VYEMA.
AK ni noma chukua chimbia ardhini kavu kavu fukua test mtambo. Ngoma jino moja. Ni bunduki imara mno ambayo inahimili mazingira magumu. Kuna aina nyingi za AK 47 kutokana na maendeleo ya teknolojia.
Hii Bill itakapo jadiliwa na kupitishwa kwa kura na Bunge la JMT, na kisha rais kuridhia na kuwa sheria, tutegemee ulanguzi,ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu pamoja na mauaji. Pengine serikali pamoja na bunge watatakiwa kuweka vipengele maaalum kisheria baina ya donor na recipient na...
Sankara alimkejeli Rais wa Ivory Coast Houphet Boigny na kumuita kibaraka wa mabeberu hususan Ufaransa. Campaore amemuoa mtoto wa Boigny. Boigny alikuwa na ushawishi mkubwa wakati huo, kikanda na kimataifa na aliheshimika kwa kuwa mtu senior wakati ule. Hakuna kiongozi ambaye alithubutu...
Bado muda wake haujafika. In fact DAB is a manifestation of the man himself. All of his action are depictions and result of his intentions. DAB is like an operated and programmed machine that does not think. Even dogs think over consequences of their actions. But if you read between the lines...
Mobutu, Kasavubu, Moise Tshombe wote waligeuzwa kuwa vibaraka wa mabeberu ila Mobutu aliitumia fursa hiyo vizuri kwa kuwamaliza wote na kuitawala Zaire.
Duh! Majipu limegeuka kuwa msamiati mkuu wa kisiasa na kupoteza maana yake halisi. Ama nadhani huu ni wakati wake baada ya neno ufisadi. Hata hivyo mchakato wa utumbuaji unahitaji utaalam na umakini na sio kujitafutia umarufu wa kisiasa kama inavyofanyika sasa.
Fikra za kimasaburi , mawazo ya kimasaburi,akili za kimasaburi na maamuzi ya ki masaburisaburi. Ikifika Oktoba 25 mwaka huu wa 2015,utachagua Masaburi. Kila la heri kwa uamuzi wako unaouamini wewe. Wenzako wanapanga.mikakati ya kukutia kwenye masaburi vitatu utulie.
Anza na CCM kisha umuulize mzee Nassor Moyo, Mzee Ntagazwa, Mzer Lwaitama na wengineo. Chadema ya Mbowe ni tofauti na ile ya Bob Makani ama Mzee Mtei. Hizi siasa za leo ni siasa huria haijalishi itikadi ama unaamini nini. Isipokuwa makubaliano na maridhiano yenye malengo yanayofanana chanya na...
R.I.P Pigo kwa Chadema na makamanda wapenda mabadiliko wote. Mtoi hakuwahi,hajawahi na hakuwa msaliti. Na alipambana mpaka tone la mwisho la damu yake. Mods kama itawapendeza na kama utaonekana umuhimu uanzishwe uzi maalum kwa ajili ya ku pay tribute kwa Kamanda Mtoi. Tujikumbus hebposts zake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.