Jamani wakati umefika wa kuacha uonevu na kupendelea watu, Hivi hawa waliopewa jukumu la kuwakamata na kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria wausika wote wa wizi wa fedha za Benki Kuu (BOT) watawakamata lini wausika wakuu? mbona vigogo wengi tu tunawajua wanausika na wizi huo lakini bado...
Nimejalibu kufikiri kwa makini kwanini vijana wa jambo forum walikamatwa na kuojiwa eti kwa madai ya kutoa habari za uchochezi lakini sipati jibu. habarigani za uchochezi zilizotolewa hapa? mbona habari za hapa zote za ukweli au kufichua mafisadi na kukemea ufisadi ndio uchochezi? huu ni uonevu...
Nimejalibu kufikiri kwa makini kwanini vijana wa jambo forum walikamatwa na kuojiwa eti kwa madai ya kutoa habari za uchochezi lakini sipati jibu. habarigani za uchochezi zilizotolewa hapa? mbona habari za hapa zote za ukweli au kufichua mafisadi na kukemea ufisadi ndio uchochezi? huu ni uonevu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.