Search results

  1. MALCOM LUMUMBA

    Tatizo la Tanzania halikuwa ujamaa wala vita vya Kagera bali ombwe la uongozi

    Umeandika jambo zito sana ambalo naamini wachache watakuelewa. Uchina wameliweza hili (SERIKALI YA KIJAMAA NA UMMAH WA KIBEPARI), na mpaka sasa naamini hata Marekani ilifanikiwa sana ilipotumia huu mfumo tokea mwaka 1933 hadi 1953. Huu mfumo kitaalamu tunasema, The Ownership is capitalist, but...
  2. MALCOM LUMUMBA

    Tatizo la Tanzania halikuwa ujamaa wala vita vya Kagera bali ombwe la uongozi

    Ukisema kwa uwazi hivi unaonekana unakufuru.
  3. MALCOM LUMUMBA

    Tatizo la Tanzania halikuwa ujamaa wala vita vya Kagera bali ombwe la uongozi

    Flesh and Blood, in the land of the living! Thanks for asking.
  4. MALCOM LUMUMBA

    Tatizo la Tanzania halikuwa ujamaa wala vita vya Kagera bali ombwe la uongozi

    Nakubaliana kabisa na wewe. Kuna siku huwa najiuliza, hivi inakuwaje watanzania kuvumilia aina hii ya ujinga bila hata kustuka akili kidogo ?
  5. MALCOM LUMUMBA

    Tatizo la Tanzania halikuwa ujamaa wala vita vya Kagera bali ombwe la uongozi

    Watanzania huwa tunapenda majibu marahisi kwenye maswali magumu. Huwa tunapenda kusingizia haya yafuatayo kwenye umasikini wetu, hasahasa anguko na mdororo wa uchumi wa miaka ya 80's hadi 90's: 1. VITA VYA KAGERA, 2. UJAMAA, 3. HUJUMA ZA KIBEPARI, 4. ANGUKO LA UCHUMI WA DUNIA MIAKA YA 70's 5...
  6. MALCOM LUMUMBA

    Nini kitafuata baada ya BOEING kukiri kwamba ajali zimesababishwa na hitilafu katika mfumo wa kielekroniki wa ndege ??

    Mfanyakazi wa zamani wa Boeing, John Barnett aliyetoa siri juu ya uzembe wa kiufundi katika uzalishaji wa ndege za Max 737 amekutwa amefariki akiwa ndani ya gari lake. Kifo hicho kimetokea ilhali mfanyakazi huyo akiwa anategemea kutoa ushahidi mahakama kwenye kesi yake dhidi ya shirika hilo...
  7. MALCOM LUMUMBA

    LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Sababu zipo, nyingi lakini hizi ni chache; Mpaka sasa Ukraine amepewa msaada wa dola za kimarekani Bilioni 74 ambazo ni zaidi ya Trilioni 150 za kitanzania, ambazo zilitumika kununua silaha za kisasa kabisa kutoka NATO. Msaada huo wa kijeshi haujazaa matunda yoyote baada ya Counter-Offensive ya...
  8. MALCOM LUMUMBA

    Je, haya ya huyu Diwani wa Kyela 2020 yanaweza kumkuta "mama" 2025?

    Sawa wakuu, mimi niwatakie kila la kheri.
  9. MALCOM LUMUMBA

    Je, haya ya huyu Diwani wa Kyela 2020 yanaweza kumkuta "mama" 2025?

    Diwani hana jeshi wala dola, Mama yenu ana vyote, jeshi na dola.
  10. MALCOM LUMUMBA

    Ama M23 wataiteka Goma au majeshi ya SADC yataingia Ikulu Kigali

    Kwamba Rwanda wanaweza kuwashinda Afrika Kusini, taifa ambalo linatengeneza kila aina ya silaha ya kivita hapa duniani, kuanzia Infantry Fighting Vehicles, Tanks, APCs, Attack Helicopters, Ballistic Missiles, Fighter Jets, UAVs and Heavy Artillery. Wanawauzia silaha nzito mataifa kama Ujerumani...
  11. MALCOM LUMUMBA

    Nakiri kwamba naendelea kujifunza siasa za Tanzania

    Kwani kuna shule kwa ajili ya jamii moja peke yake hii Tanzania ? Binafsi sijaziona, hebu nitajie baadhi.
  12. MALCOM LUMUMBA

    Nakiri kwamba naendelea kujifunza siasa za Tanzania

    Mbona kuna Catholic Schools and Universities hapa Tanzania lakini hatusikii mkilalamika hivi. Katiba yetu ya Tanzania haikatazi kabisa watu kuanzisha shule za jumuiya, inachokataza ni kuanzisha shule hizo kwa nia ovu ya kufanya ubaguzi wa rangi, dini, jinsia au kabila. Jambo ambalo mimi...
  13. MALCOM LUMUMBA

    Nakiri kwamba naendelea kujifunza siasa za Tanzania

    Tanzania is a potentially failed state. Sijui hata tulifikaje hapa kirahisi hivi.
  14. MALCOM LUMUMBA

    Selfika na JF: Snap it. Show it

    Hii ni keki au bumunda la kikinga ?
Back
Top Bottom