Natafuta mwanamke wa kufanya nae biashara/partner ship
Sifa:miaka 20-65
Elimu:Form 4-degree
Kazi:awe na kipato Cha kueleweka.
Family status:No matter
Dini:Yoyote asiwe mpagani tu!
Umbo: Mwenye makalio yake(zingatia)
Rangi:mweupe au mweusi.
Kabila:lolote isipokuwa,mzaramo.
Umbo:Awe na nyama zake...
Kaka usipotoshe watu jifunze kwanza uislam uulewe,usiandike vitu usivyovijua ni Bora uachie watu wanaojua utaumbuka.chimbuko la uislam halianzii Kwa Ismael ndugu.
Kwa upande wa uislam dini Yao imejitosheleza Kwa kila kitu Yani Haina editing.Papa juzi kabariki ndoa za wase.nge halafu Bado unakomaa na uislam au hujazisikia hizo taarifa??au unajizima data!!!
Hizi mada za kufungua jicho la tatu waachie kina Mshana.Nimesoma huu Uzi umeandika ushuzi mtupu,nimegundua lengo lako ni kuponda uislam na kutukuza ukristo.
Nunua urembo wa wanawake kama cheni, hereni, vibanio, bangili, maua. Tega kwenye foleni ya magari kama upo Dar, pia unaweza kuuza bites mfano chocolate, biscuits, crips, tissue za kujifutia, bublish n.k. muhimu uwe na utayari na nia ya kubadili maisha yako bila kuangalia macho ya watu. (Hakuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.