Search results

  1. B

    Simba v/s Azam ngao ya hisani

    Ndomyana kuwa mwanaspoti usiendekeze sana ushabiki wakati simba kafungwa goli la kwanza haikuwa maigizo lakin simba kushinda ni maigizo. Kwan hata zile 5 bila ilikuwa maigizo? Au maigizo ni kwa azam tu. Tutafanya tena maigizo october 3.
  2. B

    Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

    wewe utakuwa umetumwa cdm hakunaga udini pale, kama unataka udini nenda cuf. Kama ulishuhudia mkutano wao wa jana na kuona vibarakashia kibao, halafu mbaya zaidi mkutano walifunguwa kwa sara baada ya pastor kuanza kusali wakawa wanamzomea.
  3. B

    Yondan, Twite Mali ya Yanga ..... TFF Yawaidhinisha

    Achaneni na simba nyie.
  4. B

    FikraPevu: Polisi aliyefyatua bomu lililoua mwandishi akamatwa, kushitakiwa kwa mauaji

    Kuanzia huyo mnaemuita jemedari mkuu, i.g.p na vifaranga vyao vyote adhabu yao ni moja tu wote wanyongwe, kama walitaka kujaribu silaha zao si wangeenda huko malawi wanakogombea ziwa.
  5. B

    Sasa ndo nagundua kwanini Sofapaka waliitaka Yanga....

    Anselm nenden kaunda mkale tambuu na manjigili achaneni simba, mbona kila wakati mapovu yanakutoka mdomoni?
  6. B

    Simba SC bado gonjwa gonjwa!

    Shangilien sasa, hizi trayo hakuna pointi hapo, subirin ligi ianze ndo mtamjuwa mnyama anafanya nini.
  7. B

    CCM: Dk. Slaa na wenzake wadandia kinguvu mazishi ya Mwangosi, Mbeya

    Ccm fanyen yenu nyie kwa sasa mnanuka achen propaganda zenu mnataka kutumia msiba kama mtaji, kwan huyo godwin ni nan au mwanafamilia? Dk. Slaa katoa uban milion 2 yeye godwin katoa ngapi? Achen hizo tunasema watzee hatudanganyiki.
  8. B

    Tendwa sasa atishia kukifuta CHADEMA

    Wewe tendwa huwezi kuifutia uanachama cdm hata kama una uwezo wa kufanya hivyo, sasa tunakwambia jaribu na uone kama hujaanza wewe kufutika.
  9. B

    Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

    Kwa vyama vyote vilipo hapa tzee hakuna wa kumlinganisha na DR. WILBROD PETER SLAA, huyu jamaa ni nibonge la genius. So zitto asubiri kwanza ni snitch wa chama.
  10. B

    Nimeanza kuamini Akuffor ni habari nyingine

    Anselm njoo kesho taifa umuone akuffor, ni balaa.
  11. B

    YONDANI halali Simba TWITE ruksa Yanga.

    We gerrad yo-nje ana mkataba mpaka 2014 so hata kama atakaa kijiwen inabidi akae sana tu mpaka 2014 mnalo hilo, bila us dola 150000 imekula kwenu.
  12. B

    Yanga wanaweweseka na rage

    Ulijuaje kama njano na kijan ndo mwisho wake umefika? Yan 2015 ndo basi tena hakuna yanga serikali
  13. B

    Kwanini Wanawake wengi huvutiwa Na wanaume wenye Vifua vikubwa...

    Purple njoo kwangu utafurahi mwenyewe.
  14. B

    Haya huchangia Mwanaume kuwa mchovu kitandani

    Pretty usikereke sana kwan si unajuwa mazoea hujenga tabia? Unaweza muona binti mrembo sana ukamtokea lakin badae baada ya kuwa nae anaanza kujisahau na kuanza kujiachia, kama alikuwa anapaka roshen nzuri. Parfyum nzuri na make up uson ndo zilizo kufanya ukavutiwa nae, yeye anaanza kuacha...
  15. B

    Yanga wanaweweseka na rage

    Yanga wanaweweseka sana na rage, kwan sasa wamekuwa ndo waongeaji sana kuhusu rage ooh aondoke simba kwa vile anahiujumu simba. Mbona sisi wenyewe hatuon alipotuhujumu? Simba sio kama nyie yanga kuwafukuza viongozi kila wakati, na sasa mtamfukuza manji baada ya kichapo cha mbwa mwizi toka kwa...
  16. B

    Yondani aanza kujuta Yanga

    Huyo yondan arudi simba kufanya nini tena? Mwache akae huko anakoamin ndio kwenye mafinikio yake, mechi ya simba na yanga ndo itakuwa mwisho wake kucheza yanga kwan goli zote zitatokea kwake. Yan kama namuona vile messi anavyomsulubu babu wa watu kwa chenga za maudhi chezea messi nyiye!?
  17. B

    Amini usiamini msimu wa ligi kuu bara utaisha hivi:

    Nyie watu wa yanga kweli mazumbukuku, hiyo kagame cc 2wechukuwa mara 6, sasa hivi simba inawaza kuwa kama tp mazembe sio kama nyie. Nawashangaa sana mnaposifa panga kwa kukata mgomba.
  18. B

    Simba sc: Mshusheni shipa mbuyu twite

    Sio kishipa tu, na kumuotesha ugonjwa wa matende. Haijuwi simba huyo kwan mafisango hakuwa mkongo? Mbona alikufa kama kuku wa mdondo.
  19. B

    Pendekeza jina jipya la timu yetu ta taifa..."taifa stars"

    Jaman wana jf tujaribu kuchangia majina mengi ili lichaguliwe moja. Napendekeza mengine. Naomba kama itawezekana basi iitwe MAKABURI YA MV BUKOBA. AU MABWEPANDE.
  20. B

    Pendekeza jina jipya la timu yetu ta taifa..."taifa stars"

    Iitwe bongo gays star.
Back
Top Bottom