tarehe 31/7/2012,wafanya kazi wa mgod wa dhahabu wa bulyanhulu walisita kuingia shimoni kwa hili mi nawapongeza,na pia wale walimu walio goma kuingia kazin pia nawapongeza kwani vilio vya wahanga hawa vilitaka kufanana.nawala havina wakuskiliza kadhia hiii.wafanya kazi wa bulyanhulu wanalilia...
Hi sheria mpya ya kutka kuwadhulumu watanzania.mi kwa upeo wangu mdodo naona sasa serikali inataka kutafuta nauli.na nibora tufe watanzania milioni[1]lakini watakao salia waishi kwa raha na aman.wengi wataniona mjinga au sijui lakini ndiohivyo.hawajamaa wamekula helazetu mpaka wamejisahau.sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.