Wakuu,
Nimepata wazo la kuanzisha kampuni ya udalali hasa wa nyumba, viwanja, magari na electronics zingine.
Nahitaji kujuwa:
1. Ni shilingi ngapi zinahitajika ili kusajili kampuni ya namna hii?
2. Ni vitu gani natakiwa kuwa navyo ili niweze kupata usajili wa kampuni?
3. Moja ya kazi...
Dada, Mungu akubariki sana sana sana, hivi ninavyoandika kwangu wife mambo yameshajipa ni karibu wiki sasa. Ninakuandalia zawadi babu kubwa na nitakuletea hivi karibuni Mungu akulinde. Hongera pia kwa jf kwa kutuweka pamoja.
Habari zenu wakuu,
Nina mambo mawili hapa:
1. Nina mjomba wangu mmoja hapa dar ana guest house yake ina rooms kama 20 hivi na anataka kufunga simu kila chumba zile zisizo hela (vocha) ili kuwasiliana ni kama radiocall vile sijuwi, sasa anahitaji kujuwa wapi atawapata watu wanao husika na kazi...
Heshima kwenu wakuu,
Tafadhari naomba kujulishwa ni software gani nzuri na maarufu zaidi kwa ajili hotel reservation ambayo ninaweza kuinstall pia code zake online kwa ajili ya online booking kwenye website ya kihotel changu. Nahitaji ambayo ni free source au ya kulipia lakini ina free trial...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.