Haya mambo ni makubwa sana kiukweli zanzibar ilipata uhuru mwaka 1963 ingawaje mapinduz yalikuja mwaka mmoja baadae hapa kuna mambo makuu mawili mosi kuna watu walikuwa wakinufaika na ile serikali ya mwaka 1963 na pili ni wengine walionufaika na serikali ya 1964 yote kwa yote kuna mambo...
Mwalimu ktk ngazi hizo za mafunzo wanaonewa sana kupita kiasi ni bora vyuo vya ualim vya serikali vile ni kambi za jeshi iliikulikane ni jeshi kuliko ilivyo hivi sasa
Nimefanya utafiti ktk vyuo vya serikali vinavyotoa diploma(stashahada) na certificate(astashahada) ya ualimu nimegundua yafuatayo 1,Elimu ngazi hizo ndizo zinafundisha sana namna ya mwl kufundisha hata kuliko wale wenye degree(shahada).
2. Walimu tanajali wananyanyaswa sana nakuwafanya...
Nimefuatilia kwa makini mwendelezo wa maadhimisho ya miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar, katika yote lakini wajuvi na wazamivu wa siasa za Tanzania bara na Visiwani pamoja na waandishi wa habari wamekuwa wagumu kueleza ukweli wa nini kilifanyika ktatika siku ile ya Mapinduzi, na je ni kweli kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.