Search results

  1. M

    Tukumbushane: Historia ya Wahehe wa Iringa

    Nina hofu na wasiwasi mkubwa. .kihehe sanifu na utamaduni wake; mavazi, michezo kama kuduva, mandala, kusenyemba, kuyeyela, kwidwisa (mieleka), Mapishi, uhifadhi wa vitu mbali mbali kama nyama, nafaka za kula na kupanda, uwindaji na ufugaji na ufundishaji wa wanyama mbali mbali, vingi...
  2. M

    Je, nyumba bado ni asset ya uhakika kuliko asset zingine zote?

    Nyumba ni asset kama unajenga zaidi ya moja halafu uzikopee benki, kama amana ya mkopo wako. Ila ukiwa unahifadhi pesa zako kwenye majengo, hapo utakuwa umebugi...siku moja utalia, mifano ipo mingi, kama kule marekani na ulaya, hasa pale unapotokea mdororo wa uchumi.
  3. M

    Mtazamo: Kuhusu MCC kusitisha msaada wa MCC 2 na shughuli zake Tanzania

    Kapongo, Kuna msemo wa siku nyingi unaosema: "Never wrestle with a pig, you will both get dirty and the pig likes it." I thus chose not to wrestle with Polepole. Mwenye hekima hahitaji kujijustify mwenyewe, anaetetea hoja hii ya Polepole haitakii mema nchi hii. Lazima tutoke hapa, hizi approach...
  4. M

    Mtazamo: Kuhusu MCC kusitisha msaada wa MCC 2 na shughuli zake Tanzania

    Tumefika mahali tulipo kwasababu ya watu kama akina Pole Pole. wamefungwa ufahamu, wanafikiria mambo kwenye narrow angel kisha wanatumia our weakest political system to lure our people. Utashangaa kuna watu humu ndani watamsifu Pole pole, kwa kukurupuka bila kufanya a critical analysis ya huu...
  5. M

    Wachumi wamshukia Magufuli, watabiri pigo la kiuchumi

    Serikalini wamejaa wasomi wa vyeti sio ujuzi. Lazima hali hii irekebishwe, tena haraka.
  6. M

    Zanzibar: Pemba hali ni tete, vurugu kati ya Polisi na raia

    This is so much irresponsible of you blood sucker! Lets not get to this mess, please. Nashangaa sana watu wanaoshabikia vurugu za Zanzibar, hata sisi wa Bara hatutakuwa salama, sipendi kabisa watu wafe eti kwa sababu za kisiasa. Nachukia sana watu ambao hawaoni mbali kuhusu hili jambo. Sooo sad! -
  7. M

    TANZIA: Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege afariki Dunia

    May His Soul Rest In Peace. I know the guy before he became the TAA Boss, very humble indeed. We have got a lesson to learn here: 1. Swimming alone in the sea, too risky even if you are an expert, better have a company, it is the best safety practice. 2. We do not know the cause of his...
  8. M

    Ukishindwa kumnyonyesha mtoto miezi sita bila kumpa kitu chochote, andaa pesa ya tuition

    Ujinga ni kitu kibaya sana..aliyekwambia kula nyama sana au kula nyama zaidi ndio utamaduni mzuri au ndio kujenga mtoto mwenye afya njema ni nani? Tafadhari usipotoshe watu, wewe sio authority kwenye health science, tupe ushahidi wa kisayansi sio kushawishi watu kwa hisia tu. Bahati mbaya sana...
  9. M

    Ni lini Vyeo vya Kijeshi (Collar Insignia) vimebadilishwa hapa nchini?

    Ahsanteni sana Wana JF, nimepata majibu, nina kushukuruni sana kwa michango yenu. Nimejifunza kuwa: 1) Kumbe kuna mabadiliko yamefanyika mwezi wa Tisa 2015, na mchakato wake ulianza mwezi March 2015, na kama ni sahihi, mmoja wa wachangiaji anasema 2) Jeshi letu lime adopt vyeo vya Jumuiya ya...
  10. M

    Ni lini Vyeo vya Kijeshi (Collar Insignia) vimebadilishwa hapa nchini?

    Wana JF Nimeona picha ya Meja General Gaudence Milanzi, aliyeteuliwa na kuapishwa na Rais hivi karibuni kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, kwenye blog ya Mpekuzi Huru, ikanipa Maswali. Kwenye picha hiyo ( ambayo nimei copy na kupaste hapo chini tena), Major Generali Milanzi...
  11. M

    Ukweli mtupu: Abdalah Bulembo na Anthony Diallo wajiandae kuula, waandae sherehe!

    Acheni hizi Gross accusations, weka wazi nani kampendelea kwa lipi? Naamini una taarifa zaidi zilizokusukuma hadi uanzishe uzi huu..weka wazi tukuelewe, na bila kumwonea aibu wala woga mtu yeyote, National interest first, and that is what I believe Magufuli is striving to achieve..!
  12. M

    Muhongo Kuwekeza 100M za mkopo wa gari kwenye elimu

    Nakubaliana na wewe, inabidi atoe ufafanuzi, shs 100m hazitoshi kwa ahadi na maelezo wanayosema ametoa kupitia hilo gazeti la citizen.
  13. M

    Jaji Warioba kufukuzwa kwenye nyumba anayoishi mwishoni mwa wiki hii

    Irrespective of how good or valid contributions that you might have brought to JF, nimesikitishwa sana kujiibandika jina la MKWEPA KODI. hivi hiyo ni sifa njema au ni arogance au ni kitu gani? You might be honest kulingana na jina lako, kwamba wewe ni mkwepa kodi na huoni haya kujitambulisha kwa...
  14. M

    Baniani mbaya, kiatu chake dawa: Wa kushukuriwa ni Lowassa

    Mie nina support hoja from the creation of Magufuli into the presidency. Kwamba, ni kweli nguvu kubwa ya Lowassa kuutaka urais ndani ya CCM, ndio ilimuibua Magufuli, kama salvage ya chama kugawanyika na kuingia mikononi mwa "Kundi" lisilo faa. Ndio Maana marais wastaafu, kwa kuongozwa na "divine...
  15. M

    Francophonie Vs Commonwealth: How Rwanda Bagged $3 Billion When It Said au revoir?

    Good story tale, let our President JP Magufuli initiate the warbles and will dance to the tune. The New Tanzania is in the making, if Rwanda did with all their meager resources and a few quality brains, how about Tanzania with millions? Rwanda departed from Anglophone, Tanzania got to...
  16. M

    Tanzanian president Magufuli trampling on tenets corporate governance in his overzealous populist

    The author made an early or a premature observation and a few judgmental thoughts. In the state and where Tanzania was, we need a man like JPM to overstep on a few keys. Without overriding a few basics to set the button to the default mode, we will not move. The author also applauded the just...
  17. M

    Pope Francis: 'Christians and Muslims are brothers and sisters

    I grew up in Iringa Tanzania, in a society whereby our religion was a humility method of unifying all of us, while a kid as a Christian, I would visit a mosque and a madrasa, learn a few things and my Muslim friends and relatives, were visiting and sitting with me during our Catholic religious...
  18. M

    Madhara ya kuchelewesha sana Baraza la Mawaziri

    KWa Hali ya Nchi ilipokuwa imefikia, kila kitu kuwa politicised, viongozi kukosa uzalendo na competence ya kufanya kazi ya utumishi wa umma, Civil servants kugeuka kuwa Civil Bosses, mifumo ya kiutawala kuzidiwa na rushwa, ubinafsi, kiburi na kutazama maslahi binafsi kwanza kabla ya makusudio ya...
  19. M

    Mshahara wa Nehemia Mchechu wa NHC ni USD 19,000 kwa mwezi

    Mleta hoja anapaswa kulinganisha an apple with an apple. Sio sahihi kumlinganisha mbunge na Mtendaji mkuu wa shirika anayezalisha. Benchmarking ya politicians ati ndio wawe na mishahara mikubwa is a misplaced proposal. Nchi hii hatusongi mbele kwasababu ya wana siasa. Kiukweli, mie nilidhani...
  20. M

    Magufuli amewaumiza watumishi wa umma!

    Wasomi gani hao wanaopinga mabadiliko? Hebu mwaga majina yao hapa tuwajue.
Back
Top Bottom