Search results

  1. D

    CV ya Mkurugenzi Mkuu wa NSSF Prof. Godius Kahyarara inatisha

    Mifuko ya pensheni ina sura mbili: sura ya watu wengi wanaochangia wanaoingia na kutoka kwa kustaafu (demographic dynamics aspect) na sura ya pesa nyingi (financial investment aspect). Pia kuna sura ya kisheria na kisiasa ktk kuendesha pensheni ambazo ni muhimu kuzifahamu vzr sana. Inahitaji...
  2. D

    CV ya Mkurugenzi Mkuu wa NSSF Prof. Godius Kahyarara inatisha

    Wote hawapo tena sio Muhongo wala Kahyarara. Tatizo walilonalo wasomi wetu ni kiburi cha kukataa kujifunza wakidhani wanajua kila kitu. Acha yawakute
  3. D

    naomba mnisaidie kujua tabia za wanaume wa kigoma(waha)

    Usiombe kukutana na mwanaume wa kigoma kitandani wana nguvu za ajabu... ila hawana mapenzi ya kweli nje ya chumba
  4. D

    Nimesikitika sana Kwa serikali yetu dhidi ya Sheria ya mpya ya mafao

    Naomba nitofautiane kdg ingawa nafahamu tabia za watu wenye mawazo mafupi watanishambulia kwa kutokubaliana nao. Haya yasemwayo ni majungu. Tutafute hoja nyingine ya kuibana serikali lkn hii haina mashiko. Imeundwa kiubinafsi zaidi. Kwanza inaongelea maslahi ya uzeeni ya walimu peke yao why...
  5. D

    Anti Bilali: Huu Ushoga wangu nilirogwa, mwenye dawa anisaidie

    hahahahahahah....makuchu mna maneno hata mademu hawafui dafu
  6. D

    Ndevu kwa Wanaume: Kuota (nyingi) au kutokuota, nini tatizo? Nini kifanyike?

    nenda hsptl wakakupe vidonge vya kupunguza hormone za kiume. unazo nyingi kuzidi kiwango ndio mana. zikipungua zitaota tartiiibu
  7. D

    'Tanzania ina vilema vitatu'

    Mi nakubaliana na hivi vilema vitatu kweli tunavyo hapa Tanzania. Pia nahisi vinahusiana na jambo linalofanana. Nalo ni kuporomoka kwa uchumi. Nasema hivi kwa sababu kadhaa. Nitahusianisha chache hapa: 1. Kuongezeka kwa "Kukaa kinyumba" kunatokana na wanaume wengi kuwa na uchumi dhaifu. Kwa vile...
  8. D

    Kwa nini watumishi wa serikali hawaendi kugombea ubunge kupitia upinzani?

    Hii mada naomba nichangie. Mi naona ni kuwa wengi wao wanasiasa wa TZ hawana wanachoamini (conviction) wala hawana falsafa. Wanagombea kwa maslahi binafsi tu, hawana cha kutimiza zaidi kuangalia vp watapata chakula chao. Wanalipa fadhila kwa kuonekana kwenye misiba, kutoa rambirambi hela nyingi...
  9. D

    Natoa ushauri wakati wa sensa ukifika

    Naomba nichangie. Nashukuru kwa kuposti hii mada. Ilivyo ni kuwa, watu wengi si wapenzi wa mambo ya namba, au hawaelewi madhara yake kwa kutoa namba bila umakini. Uzoefu unaonyesha huwezi kabisa kuwategemea viongozi wa ngazi inayotajwa au yoyote kufanya kazi hii. Ni kazi ngumu sana ndio maana...
  10. D

    Nimfanyaje huyu dada

    Sikubaliani na AINE: Hasa sehemu hii ya kutaka kujua "Anakaa wapi, ndugu zake nani, marafiki zake nani.." Naona havihusu chochote. Kama unataka kumfahamu huyu dada spend nae muda utamfahamu tu bila kumhukumu kwa sababu ya ndugu zake, marafiki zake, anakoishi nk. Hayo ni mambo ya kizamani AINE...
  11. D

    Nimfanyaje huyu dada

    Ki ukweli wadada wako hivyo. Hawasemi watakalo wanajichekesha tu. Pia, wengine ukimuonyesha meno tu ukimsifia kapendeza anakuja wanguwangu. Kiufupi, wadada ndio wapendao zaidi mahusiano. Yamenikuta hayo; kisa nilimsifia mara 2-3 kwa nia njema bac yeye mwenyewe kanialika kaniachia kila kitu...
  12. D

    Kuchangia harusi kukomeshwe

    Yani mmenigusa. Nimekuwa naumiza kichwa siku zote nini nifanye ili kulazimisha watu waache huu uchangiaji wa kula na kunywa kwa masaa matatu shs laki moja za zaidi kwa kichwa kimoja. Nikienda Kempinski pia siwezi kutumia kiasi hicho cha pesa. Afadhali basi ingekuwa tunakula na kushiba, lakini...
  13. D

    Ridhiwan Kikwete: Mimi si fisadi

    Omarilyas will always be Omarilyas... he will always so (or too) self confident even when he should not be. It could prove to be useful in some ways but I mean come on.. defending Ridhwani or Benno Malissa as COMPETENT? puleeez!
  14. D

    Ridhiwan Kikwete: Mimi si fisadi

    Wow, i like this... esp the last para, politics is a dirty game, and if CCM wanna play that game but Tanzanians don't wanna join them, then we don't have to join them... Simply Tanzanians should shove em aside. The fact that CCM remain on despite, is a bit of a proof that Tanzanians are not...
  15. D

    Ridhiwan Kikwete: Mimi si fisadi

    Hey hey Fella, Ningekuwa wewe nisingelinganisha uteuzi wa dada Mwendwa kuwa jaji na ule wa akina Ridhwani kuleta cheap politics zao wasizozijua. Sababu nasema hivyo ni kuwa dada Mwendwa namheshimu sana. Ni laywer mzuri tena wa siku nyingi. Amepewa hiyo nafasi kwa uwezo wake kuliko upendeleo...
  16. D

    Malaria sugu inanitesa! Dawa gani itanipa tiba ya kudumu?

    Jamani mimi sina msaada mkubwa kwa kukosa utaalam.. lakini na mimi nina tatizo hilo pia. Nimeshatumia madawa ya kila aina na kila bei toka nchi mbalimbali. Hospitali zote kubwa nimeenda kutibiwa malaria hii lakini inarudi kila baada ya mwezi mmoja. Labda na mimi ni sababu ya kukaa sana nje usiku...
  17. D

    Ukweli kuhusu teknolojia ya solar

    Jubilant ahsante ndugu na mimi nimedesa... Pia nimehamia mbali na mpango wa TANESCO. Na hata ningekuwa karibu siwapendi. Mimi sijui kabisa sayansi ya umeme, kwa hiyo hata kujua idadi ya Watt ninazohitaji ni mtihani, ila najua vifaa ninavyohitaji. Najumlisha tu linearly Watt za kila kifaa au...
  18. D

    UDSM ndio chanzo cha mfubao wa Elimu Tz

    Napenda style aliyotumia kuelezea hii kitu huyu Mzelendohalisi. Hakuna haja ya kulialia. Work hard, prove them wrong!!! It has always worked for me... Tangu shule ya vidudu nimekuwa the odd-one na siku zote nime-prove them wrong.. Nilikuwa mdhaifu na nilitoka kwenye jamii ya dini na kabila...
  19. D

    Two Kenyan men wed in London

    U wouldnt know unless you try!!! And unless you know, don't analyse...
Back
Top Bottom