Kila la kheri Mh Rais Dk.John Pombe Magufuli sasa wakati wakuwatumikia watanzania umefika, kwanza katiba ya Jaji Warioba ni muhimu sana kwa watanzania hasa kipindi hiki cha mabadiliko ya kiuchumi,kidemokrasia na kisayasi.
Dunia huru inahitaji Mabadiliko ya kiuchumi,kisiasa na kielimu ambayo...
Yakobo 3:18
Uadilifu ni mazao ya mbegu ambazo wapenda amani hupanda katika amani.
Kwa matiki hiyo tunatafsiri neno maadili hapo kuna usafi wa haki, uwazi, na wajibu
Hatari ya ugonjwa wa COVID-19 - JamiiForums Uzi nilieleza toka mwanzo hatua za haraka nakumbuka mkuu Pascal ukuunga mkono hadi sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, Pascal huja yako ya msingi sana lakini Jana nilishindwa kutoa maoni yangu maana yulitofauti kidogo. Tunahitaji kuchukua hatua kama familia sasa maana Hali sio nzuri niliwahi kutoa uzi hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli lakini Mshahara wako kuchukuliwa salary advances kwa riba hapana CRDB wamekuwa wakitoka Riba kubwa mshahara wa kwako why mshahara unaingia kwenye Benk husika au NMB wao wamekuwa na Reg ya kuomba Salary Advances jamani hatari sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii itaendelea kuwatesa watumishi hakika yani hatari kwa kweli. Kwani si mshahara wao kwani wakatwe Riba jamani way this.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana mkuu Pascal, nataazalisha kuna huwazi na uzembe mwingi, unajua unaweza kumsreen mgeni atakayewasili kwa kuangalia joto la mwili na na mapafu lakini yakawa Sawa ukweli hauko hivyo, Joto linaweza kuwa Sawa kwa muda mfupi lakini kesho likapanda na ndio maana wakaambiwa wake siku 14...
Soma Habari yote aliambiwa anapelekwa Hospital iliyotengwa kwa ajili ya watu wenye maambukizi ya COVID-19 halikataa kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu zangu Watanzania na East Africa kwa ujumla, tuna kila sababu ya kumshukuru Mungu kwa kila jambo, tunashukuru serikali kuimarisha usalama katika mipaka yetu, lakini tuchukue hatua kali kwenye hili janga la Corona, tusifanye mzaha sana.
Hatua zote tunazoambiwa Tuchukue. Tatizo hili ni kubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.