Shida ni kwamba,huu utapeli unafanywa na wafanyakazi wenyewe siyo outsiders maana mawasiliano yanaanzia kwenye mfumo wao rasmi wa huduma kwa wateja ndio wanahamia uchochoroni.
Wala hawachukui michango!
Wanaotapeliwa ni wastaafu ambao Mwajiri wao hakuwasilisha michango yao yote PSSSF.
Wanaambiwa walipe (wastaafu) wenyewe hiyo michango ambayo (haikuwasilishwa) directly PSSSF ili walipwe pension iliyobaki kwa madai ni agizo la Rais.
Hao wafanyakazi wanatoa namba za...
Kwema wadau,
Natoa tahadhari kwa wote wanaowasiliana na PSSSF kupitia DM page yao rasmi ya instagram (Psssftz) na wale wanaopiga namba zao za bure 0800110040 na 0800110055 kuhitaji msaada wowote.
Kwa kifupi watumishi wa kitengo hicho cha huduma kwa wateja ukishawasiliana nao watakuomba namba...
Kiongozi wa dini halafu nickname yake Transformer!!!
Is he a step-up or a step-down transformer?
Au yeye ni transformer ile nyingine? Ka-transform nini mpaka sasa?
Kama rais anaongoza bunge kwa remote tatizo ni rais au viongozi wa bunge?
Si wawalaumu viongozi wao wa bunge kwa kupelekeshwa kama wanaushahidi?
Dawa ya yote haya ni wao wapinzani kutwaa viti vingi bungeni ili washiriki kuuweka uongozi wa bunge tofauti na sasa ambapo maamuzi yote bungeni wao...
Kwa hiyo wote watakao adhibiwa watakuwa wanatolewa tamko na LHRC?
Mbona Juma Nyoso alipofungiwa na kamati ya maadili ya TFF hawakulaani?
Haiwezekani watu wavuruge taratibu makusudi halafu wachekewe tu hata ngazi za familia adhabu zipo!
Bora wakasajiliwe kiwe chama cha siasa then wakaungane na...
Kuruta anataka kufunga bembea kwenye pumbu za afande!!!
Hawa wazanzibar wametukosesha za MCC halafu bado wanawachekea wavuruga amani?
Ingekuwa Kagame,tungekuwa tunaongelea mambo mengine.
Kuna haja ya kuongeza adhabu ya viboko kwenye makosa ya barabarani tena unalambwa on the spot hasa hii issue ya matumizi ya barabara za haya mabasi yaendayo haraka.
Kila basi litembee na askari or mgambo kwa ajili ya zoezi la kugawa bakora na fine za papo kwa papo.
Kutokana na maudhui ya kipindi kile kuvaa bukta ni uhuni tu na sitegemei ITV kuenda live kwenye "Kipima Joto" au kwenye kipindi cha "Malumbano ya hoja" na mgeni aliyevaa hivyo.
Ingekuwa "Friday Night Live hapo sawa hata angeenda kifua wazi sababu mada zenyewe zina mrengo huo huo.
Lakini...
Tatizo wabongo hawana utamaduni wa kuhusisha tarakimu ama takwimu kwenye mazungumzo yao matokeo yake hata wakianzisha mazungumzo juu ya mambo muhimu wanaishia kuonekana wanaongea pumba tu.
Halafu kutuhumu vijana pekee nayo ni pumba tu sababu ni vijana hawa hawa ndiyo huzeeka na pumba zao so...
Football ni team work ndo inayofanya timu ipate matokeo tofauti na tennis.
Sasa huyo striker anayewahakikishia kutupia goli kila mechi ni wa kufikirika tu sababu hata kwa wenye soka lao,hakuna striker wa aina hiyo.
BTW:Huko aliko sasa ana-record hiyo? Wapi?
Halafu haya mambo ya kuficha ficha...
Akishatimuliwa ndo ataanza ku-report habari za Jay D si unaona Hando alikuwepo siku yenyewe kwa kifupi adui wa bosi wako ni adui yako ndiyo slogan ya mawingu hata kama hujui hata chanzo cha ugomvi ama huna maslahi na ugomvi wao wewe vunga tu umfurahishe bosi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.