Search results

  1. Papizo

    Mussa Mbura: Mitambo Mipya Airport ya JNIA Sasa Inachakata Taarifa ya Passport kwa Dakika Moja Tu!

    Pole pole tutafika tu, Hatua kwa hatua ila ncho nyingine sasa hivi karibia wanahamia kwenye system mpya ambayo hata international ambao sio watanzania wanaingia na mitambo inagonga visa moja kwa moja bila kukutana na mtu.....
  2. Papizo

    Natafuta Marine Board Used Maeneo ya Goba [ Ujenzi ]

    Nashukuru sana tena sana ndugu yangu na je huyo fundi naweza kumpata wapi kaka unaweza kunielekeza tafadhali nitashukuru sana tena sanaa...
  3. Papizo

    Natafuta Marine Board Used Maeneo ya Goba [ Ujenzi ]

    Kwa dar nitazipata wapi hizi mkuu??
  4. Papizo

    Natafuta Marine Board Used Maeneo ya Goba [ Ujenzi ]

    Asante san mkuu maana na mimi nina changamoto kubwa sana maana kwa sasa nahitaji marine board 100 kwa ajili ya slab na kila moja ni 48000 sasa kwa nini nitumie hela yote hiyo kwa ajili ya kazi ya mda mfupi tu basi....
  5. Papizo

    Huduma kwa wateja ya Air Tanzania siyo nzuri

    Haya sawa nitatoa rushwa ila nakukamatisha ufukuzwe kazi so nani anakuwa ame loose??Nahitaji huduma na unalipwa mshahara so shida ipo wapi hasa??Hata kama ni bongland mama mnamuweka chini sana.....
  6. Papizo

    Huduma kwa wateja ya Air Tanzania siyo nzuri

    Hajui na ana akili za kijinga sana...Hajui hata hizo hela za kununua ATCL zinatoka wapi hafahamu kabisaaa hata kidogo....ila wamezoea kuwaendesha watanzania na wanakaaa kimya....Kodi zinalipwaaa na inabidi wafanye kazi inavyotakiwa...Huyu jamaaa mjinga sanaaa
  7. Papizo

    Huduma kwa wateja ya Air Tanzania siyo nzuri

    Hiyo rushwa kwa nini nitoe rushwa kwa huduma ambayo nimelipia hivi watanzania mpo dunia gani lakini??Yaani keep change serious??Natoa kwa kupenda na sitaki connection....
  8. Papizo

    Huduma kwa wateja ya Air Tanzania siyo nzuri

    Hana akili kabisaaa huyu jamaa na hajui shida tunapitia au kupata....Leo simu ngapi wamepokea ofisini kwao??Kwanza ile number yao ya mobile wameweka kwenye website ipo off haipatikani na landline ndio kabisaaa hawapokei.....
  9. Papizo

    Huduma kwa wateja ya Air Tanzania siyo nzuri

    Huna akili kabisaa wewe na tunajuwa unafanya kazi hapo ndio maana unashabikoa huu upumbavu.....Na endelea kufanya hivyo ila mtabadilika na tutaleta watu wafanye investigation happ bila nyinyi kufahamu na tutatoa evidence piaa subirini tu....Mtu kama wewe huna akili kabisaa hata kidogo....
  10. Papizo

    Huduma kwa wateja ya Air Tanzania siyo nzuri

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kaka nina hasira ila umenifanya nicheke sana tena sanaaa...Hawapo serious hata kidogo niamini hivyo...
  11. Papizo

    Huduma kwa wateja ya Air Tanzania siyo nzuri

    Kaka sasa tutaishi maisha ya connection kwenye swala kama hili huoni kama.ni rushwa hiyo??Why connection??Huoni kama ni mbaya sanaa....Yaani ni book ticket na nilipe hela na nahitaji connection kweli ni sawa??
  12. Papizo

    Huduma kwa wateja ya Air Tanzania siyo nzuri

    Wanadharau hawa watu vibaya sanaaa tena sanaaa alafu wanajiona wenyewe ndjo kila kitu....Me nitaenda ofisini nataka niende wanijibu kwa dharau then tuone itakuwaje.....Maana nimeona sana na hili swala Serikali wanafatilia tayari...Alafu mpo humu mnasema hampati wateja sasa hao wateja watakuja...
  13. Papizo

    Huduma kwa wateja ya Air Tanzania siyo nzuri

    Asante sana kaka huyu jamaa hajawahi kusafiri na haelewi shida tunapata sisi wasafiri wapi nimeongea vibaya hapo??
  14. Papizo

    Huduma kwa wateja ya Air Tanzania siyo nzuri

    Na wote mtafukuzwa kazi....Nani amesema swala la tunataka attention hapa....Mnapigiwa simu hampokei na mnakata na kuongea kwa dharau so unatakaa tukae kimya??Basi mtupe ticket za bure then mtoe dharau mjinga sana wewe.....
  15. Papizo

    Huduma kwa wateja ya Air Tanzania siyo nzuri

    Serikali inanajuwa hili swala??Inabidi wabadilike kwa kweli.....
  16. Papizo

    Huduma kwa wateja ya Air Tanzania siyo nzuri

    Nimehuzunika sana kaka....Hawajali wala kujua watu wanapiga simu ila mwisho wa mwezi wanalipwa hela so wote watolewe hapo ofisini kuanzia Manager na wacha tuta deal nao hamna neno
  17. Papizo

    Huduma kwa wateja ya Air Tanzania siyo nzuri

    Ndugu zangu naomba nitoe la moyoni kuhusu Air Tanzania Head office. Kama wakisoma na wakikasirika ni sawa tu. Sio wote humu ndani tunaishi Tanzania tuna book ticket online tunahitaji confirmation kuhusu ndege na kila kitu ila ukipiga simu kwanza wafanyakazi wana dharau sana tena sana na pia...
  18. Papizo

    Tuwafahamu Matajiri Maarufu wa mikoani

    Nasikia Musukuma yupo vizuri sana tena sanaa...kuna siku niliona youtube ana appartment zake kama kijiji acha kabisaaa na zote kapangisha na mfugaji mkubwa sana wa ngomba pia na ana mabus mengi sanaaa
  19. Papizo

    Unatumia mbinu gani pale unapomwomba Penzi Mkeo halafu anakukazia bila sababu za Msingi?

    Akikunyima mwache hata for 2 weeks usimuombe wala kumshika mkilala akili itamsoma na ataanza kukupa mwenyewe muda wote
  20. Papizo

    Pep Guardiola anaenda kuleta swali tena kwa mashabiki wa mpira

    Mwenye link ya kuangalia hii game online tupeane jamani
Back
Top Bottom