Ww ulishaondoka chadema,wanachadema wameridhika na majibu aliyoyatoa utatumika na ccm kwa style ya kishamba na kutupwa kama kondomu baada ya kutumika,ww na shonza mmeingia mlango wa kutokea Rip bro
Ww mburula hata ukiondoka huna faida kwa upeo wako mdogo wa uelewa.Maana ya accountability ni kwamba endapo kutatokea jambo baya kwenye wizara/idara unayoiongoza aidha kwa uzembe wako au wa walio chini yako unapaswa kuwajibika kwa kujiuzulu.Maandamano ya chadema ni kumshinikiza kawambwa kujizulu...
Mnyika hongera sana,ndugu zangu propaganda zinazofanywa na magamba ni hatari kwa mustakabali wa nchi yetu na zimetuletea athari ambayo inaikabili nchi,tuwe makini nazo maana wanataka cdm iache kudeal na mipango ya m4c waanze kujibizana nao na mara utaiona 2015 hiyo
Kumekucha nn,form four ya miaka hiyo ni zaidi ya digree ya chup ya juliana shonza,marehemu kawawa alikuwa la saba hapo unaonaje!tujadili matatizo ya watoto wetu kufeli kuliko kuzungumza utumbo huu.
Hawa raia wa nchi nyingine walipewa uraia wakiwa watu wazima lazima waonekane tofauti kwani hawajakulia tamaduni zotu mara wanafurugu,majizi na majangiri.Unaposhutumiwa juu ya jambo fulani unapaswa kuzijibu
Wazo lako ni vigumu kufanikiwa japo umuhimu ni mkubwa.Katiba yetu ni kweli haijatoa njia mbadala ya namna ya kupiga kura ya kutokuwa na imani na rais nje ya bunge lakini imefafanua kuwa umma ndo wenye mamlaka ya kuweka na kuondoa dola madarakani.Hivyo njia pekee ni umma kuamka na kuandamana kama...
Infact kuna baadhi ya hoja uko sawa kama kuendelea kwa vitendo hivi bila serikali kuchukua hatua ni uzembe wa serikali,hoja ya mwanakiji ni kwamba wakati serikali imekaa kimya na baadhi ya viongozi wa muslim wanaendelea na uchochezi pengo yuko kimya hali ilipofikia zisipochukuliwa hatua za...
Hivi chato si ndo kwa mzee wa rais ongeza safari za nje a.k.a mze wa mpige mbizi,acheni kulalamika chukueni hatua as a public,rais jk ahadi zake hazitekelezeki.
Watu wengine wanataka tufungiwe humu jf unawezaje kutoa majibu mepesi kwa maswali magumu umeambiwa vipeperushi vilitembea baada ya padre wa kwanza kupigwa risasi kwamba bado mapambano yanaendelea,ww huna uzalendo na huenda unavaa suruali fupi.
Mkuu sio mlango wa kati,ni mrengo kwa hiyo maana yake ni mchumia tumbo watu wa aina hii huweka sare kwenye begi akikaribia ukumbini anaivaa ili apate chochote hata cdm siku tukiula na yy yumo
Ishara ya kuanguka/kufa chama cha siasa.1.viongozi wake kukiuka miiko ya uongozi.2.viongozi kushindwa kusimamia national intigrity.3.viongozi kushindwa kuhudumia umma,jambo linalochochea chuki kwa chama.4.kukandamizwa haki mbalimbali za kiraia.5.kudumaza/kukandamiza demokrasia. Hizo tano...
Sasa hapo una nchi?national intigrity haiwezi kujengwa kwa kuwagawa watu kwa misingi mbalimbali.NI JUKUMU LA SERIKALI KUJENGA UMOJA NA MSHIKAMANO WA KITAIFA,nje na hapo wawapishe watu wenye uwezo wa kujenga intigrity ya taifa.
Hii nimeipenda sana mkuu,tena kama uhuru huo utatolewa utajikuta tumerudi mle kwa kuwa mkristo hataweza kuchinja nyama ya biashara mwenyewe,kinacholeta shida ni kauli ya serikali kuwa waislam ndo wenye haki kwani kwao ni sehemu ya ibada,kama ni sehemu ya ibada wakristo hawako tayari kushiriki...
Unafiki ni kwamba unataka kuwaaminisha wtz wasifanye mabadiliko ya uongozi kwa hoja dhaifu kuwa binadamu wote ni sawa hata Cdm wakiingia mambo yakuwa yaleyale.
Tanzania kama nchi serikali yake haina dini isipokuwa watu wake wapo na dini aidha mkristo,mwislamu au mpagani,viongozi watakaoongoza serikali watatoka kwenye dini hizo tatu,kwa nn ww umdiscolify dr.slaa?tunabaki kuwa ni propaganda za kuwachonganisha watanzania hatuzitaki.Naomba nikozomee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.