Search results

  1. F

    Uzinduzi wa "tanzania teachers network(ttn)" jijini mwanza -tar;05/10/2012

    Vyombo vyote ulivyovitaja ni tofauti na TTN...TTN is a teachers professional body for teachers like Tanganyika Law society for Lawyers,,Tanzania board of engineers for engineers,Tanzania Press clubs for journalists etc,etc,,waanzilishi wa TTN ni walimu wenye fani...
  2. F

    Uzinduzi wa "tanzania teachers network(ttn)" jijini mwanza -tar;05/10/2012

    TTN imesajiliwa..si chombo cha watu kulalamika tuu..ni chombo cha matendo..karibu TTN uwe mmoja wa wakombozi..visit TTN in facebuk for more details!
  3. F

    Uzinduzi wa "tanzania teachers network(ttn)" jijini mwanza -tar;05/10/2012

    Pole sana ndugu najua una machungu sana lakini iposiku mambo yataenda sawa.katiba hii imetungwa na mwalimu kwa ajili ya mwalimu wa Tanzani..imedhamiria kumkomboa mwalimu kwa vitendo na bila malipo yoyote..watanzania waache tabia ya kulalamika sana bila kuchukua hatua za vitendo..karibu...
  4. F

    Uzinduzi wa "tanzania teachers network(ttn)" jijini mwanza -tar;05/10/2012

    mission,vission na mengine mengi yapo ndani ya katiba,,,plz visit TTN in facebook for more details!
  5. F

    Uzinduzi wa "tanzania teachers network(ttn)" jijini mwanza -tar;05/10/2012

    CWT is a Trade union but TTN is Teachers professional Association like Tanganyika law society for lawyers,Tanzania press club for journalists e.t.c
  6. F

    Uzinduzi wa "tanzania teachers network(ttn)" jijini mwanza -tar;05/10/2012

    Wadau wote wa Elimu mnakaribishwa kutoa mawazo chanya ili kuboresha tukio hilo la kihistoria,,TTN ni taasisi iliyoanzishwa na kusajiliwa na walimu ikawa na lengo kuu la kuboresha fani ya Ualimu Tanzania..Soma Katiba ya TTN hapo chini..pia visit TTN facebook page for more details!!
  7. F

    Uzinduzi wa "tanzania teachers network(ttn)" jijini mwanza -tar;05/10/2012

    Tunaomba wadau wa maendeleo Tanzania kuchangia mawazo chanya ili kuboresha uzinduzi huo wa kitaifa siku ya tar;05/10/12..jijini Mwanza..TTN ni taasisi mpya ambayo imeanzishwa na kusajiliwa na walimu wenyewe kwa dhumuni la kuboresha fani ya Ualimu Tanzania...Tazama Katiba ya TTN apo kwenye...
  8. F

    Wasalaam.......!

    Habari za hapa wanajamii?mimi ni njuka humu ndani lakini ni mbabe kwelikweli..natumini wote mko vizuri,,nawatakia ufanisi katika shughuli za ujenzi wa Taifa
Back
Top Bottom